Mimi naunga mkono hoja, madame tumeshamjua na hila zake, njia sahihi ni kumpuuza. Tukimfukuza atalitumia jukwaa atatuumiza. Chadema, kwa hili tumieni busara kubwa Shibuda ana nguvu sana kwa wasukuma na huu ndio ukweli
Japo hakuna sababu yoyote nzito mpaka sasa iliyothibitishwa kutosha kumfukuza John Shibuda , lakini nakupa angalizo kuwa hizo nguvu unazosema Shibuda anazo , hana ! Na ukiambiwa thibitisha unachokisema hutaweza ,
kwani Cdm ina Majimbo Mangapi kwenye hiyo kanda ya ziwa ? Usisifie usichokijua ,
kwa taarifa yako bila Cdm huyo Shibuda wako angefungwa jela 2010 ( kwa hisani ya Robert Kisena ) ! You know the name ? Fisadi wa UDA aliyediriki kumchapa vibao OCD , lakini hadi leo anadunda ! Fuatilia utajua , Ndiyo maana wahenga wanashangaa John Shibuda anakopata ujasiri wa kuponda CDM ! Amesahau au amesahaulishwa ?
wanamuogopa.hawawezi kumfanya lolote.MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda, anaweza kupoteza ubunge wakati wowote , Raia Mwema, limeelezwa.
Hiyo inatokana na chama chake, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kumtuhumu kwa kukihujumu na hivyo kupanga kumvua uanachama. Mbunge akikoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsimamisha, anakoma kuwa mbunge...
More: Raia Mwema - Vigogo kumvua ubunge Shibuda
kwa hiyo kila mwenye nguvu kwenye kabila lake akifanya ujinga aachwe? Acheni hizo,mtu anahukumiwa kutokana na makosa yake na si dini yake au kabila lake!Mimi naunga mkono hoja, madame tumeshamjua na hila zake, njia sahihi ni kumpuuza. Tukimfukuza atalitumia jukwaa atatuumiza. Chadema, kwa hili tumieni busara kubwa Shibuda ana nguvu sana kwa wasukuma na huu ndio ukweli
Hizo nguvu unazozisema hana ninatumaini hiyo habari utakuwa huipati kupitia mitandao na vijiwe vya kahawa au watu wachache ndani ya chama ambao uoni wao uko blurred na propoganda za kijasusi.
Hivi matatizo ya Mh. john Shibuda na baadhi ya viongozi "wakuu" yameanza leo au jana. Na kama sivyo, mbona hajashughulikiwa mpaka leo kwa 'mujibu wa Katiba, kanuni, maadili, miongozo, taratibu na itifaki za chama. Kinachofanyika ni propoganda na kelele ambazo hazina action?. Think.
Kwani unafahamu input Mh. John Shibuda aliyoiweka mpaka kupatikana kwa hayo majimbo.
Acha kuleta maongezi ya vijiweni hapa. Mh. john Shibuda anadunda mitaani si kwa hisani ya mtu yeyote bali kwa kutokuvunja sheria ya Nchi. Sheria ya Nchi haihitaji hisani ya mtu kuwa exercised.[/QUOTE
Chadema is an institution not personality based. Hakuna mtu aliye juu ya Chadema.
Hizo nguvu unazozisema hana ninatumaini hiyo habari utakuwa huipati kupitia mitandao na vijiwe vya kahawa au watu wachache ndani ya chama ambao uoni wao uko blurred na propoganda za kijasusi.
Hivi matatizo ya Mh. john Shibuda na baadhi ya viongozi "wakuu" yameanza leo au jana. Na kama sivyo, mbona hajashughulikiwa mpaka leo kwa 'mujibu wa Katiba, kanuni, maadili, miongozo, taratibu na itifaki za chama. Kinachofanyika ni propoganda na kelele ambazo hazina action?. Think.
Kwani unafahamu input Mh. John Shibuda aliyoiweka mpaka kupatikana kwa hayo majimbo.
Acha kuleta maongezi ya vijiweni hapa. Mh. john Shibuda anadunda mitaani si kwa hisani ya mtu yeyote bali kwa kutokuvunja sheria ya Nchi. Sheria ya Nchi haihitaji hisani ya mtu kuwa exercised.
Chadema is an institution not personality based. Hakuna mtu aliye juu ya Chadema.
Anasubiri tu mkimvua anakimbilia kortini ,nae anaendelea kuwa mwanachama na mbunge wa Mahakama!hadi week kabla uchaguzi mahakama inaridhia kuwa kweli alistahili kufukuzwa uanachama!basi anatoka rasmi anahamia chama kingine
sidhani kuna haja yakumfukuza huyo shibuda maadam tumeshamjua kusudio lake chadema
Mara zote wanaozidiwa na hoja hudai wenzao wanapata data vijiweni nk , kwa vile Jf kila mtu ana uhuru wa kuongea basi tuendelee kwa kila anayeamini aendelee kuamini anachokiamini , Bali hakuna Aliye mkuu kuliko CDM , kuwavumilia wenye Mapungufu ni Mkakati tu , unapaswa kujua kuwa ushindi wa CDM kanda ya ziwa ulikuwa dhahiri, Shibuda aliyekuja Cdm A week before kick off mchango wake ni kama kumwaga kikombe cha maji baharini !
Chadema is an institution not personality based. Hakuna mtu aliye juu ya Chadema.