Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

Ninachotaka kuwambia ccm sasahivi wanatafuta kila mbinu ya kudhoofisha cdm
Minataka niwambie kuwa hadanganyiki mtu, na wameshemsha hapa hakuna mtoto wa kundanganywa kwa
ilo waelewe. Hata watafute uongo wao kutoka mbinguni 2015 watapata jibu lao la uongo
ata wafanyeje si wamezoea kuchakachua sasa achakachuliwi mtu, nataka niwambie 2015 itakuwa
jino kwa jino, shoka kwa shoka mpaka haki inapatikana tumewachoka hawa bubuzera na makhanga yao,
matisheti sasa niwakati wa kujikomboa. mpaka ukweli utajulikana na kujionesha wazi

Taifa litatikisika na itakuwa historia katika harakati za mageuzi.viongozi na wanachama wenye nguvu kwenye vyama mbalimbali vya siasa watafuata baadae.hatutamzuia mtu yeyote kujiunga na chama chetu.tuna timu kabambe ya kupokea na kuzungumza na makada na viongozi wa vyama mbalimbali wanaotaka kujiunga nasi.kwa kweli ni wengi sana

Tushirikiane katika ukombozi wa Taifa letu.Karibuni CHAUMMA.Propaganda chafu zinazoenezwa dhidi ya CHAUMMA ni mkakati wa kutunyonga.Tumekuja kukata kiu ya watanzania ya muda mrefu.Tangu taifa hili lipate uhuru hatujapata kuwa kuwa na chama kama hiki.Vijana karibuni kwa wingi na hivi punde tutazunguka nchi nzima sambamba na makongamano nchi nzima.Tutatumia usafiri wa anga na ardhini ili kurahisisha operation yetu nchi nzima

CHAUMMA kama ilivyo jina lake ni chama cha watu.Fursa ni kwa wote.Katika kanuni na katiba yetu hakuna kiongozi atakayekaa kwenye nafasi yake kwa zaidi ya vipindi viwili.Aidha apande ngazi ya juu,ya chini ama aondoke kwenye nafasi ili kutoa fursa kwa wengine kusukuma gurudumu la ukombozi.Tunaamini kama hatutaweza kuzingatia demokrasia ndani ya chama basi hatuwezi kulinda demokrasia na haki ya kijamii ndani ya Taifa letu.Karibuni

1-Ofisi zetu ziko Kijitonyama,karibu na soko la Makumbusho block no:45 plot No.376 Dar Es Salaam

Simu +255767977330,+255736502056,+255787623541


2-Katiba:Katiba ya chama ya mwaka 2012 na marekebisho yake yatakayofuata itakuwa ndiyo sheria mama na mwongozo au kanuni muhimu na jinsi ya kuendesha chama na masuala mbalimbali yanayohusu chama na asasi zake zote kama siyo idara zake

3-Bendera ya Chama:Itakiwa na rangi nne(4) kaa ifuatavyo:

Nyekundu:Maana yake ni ujasiri

Nyeupe:Inawakilisha amani na utulivu

Nyeusi:inawakilisha Bara la Afrika

Njano:inawakilisha wingi wa utajiri wa maliasili tuliyonayo nchini Tanzania

4:Nembo ya Chama:Itakuwa ni alama moja ambayo ni kiganja cha mkono kilicho kunjwa ikimaanisha umoja na mshikamano wa taifa letu,nembo hiyo itakuwa katikati ya bendera pamoja na maandishi ya kifupi cha jina la chama CHAUMMA katikati na maeneo yanayozunguka duara juu yasemayo CHAMA CHA UKOMBOZI WA UMMA chini yake itakuwa mwaka wa chama kilipozaliwa(2012)

5:Itikadi ya chama(Ideology): Ni demokrasia ya kijamii ambayo misingi yake ni uhuru,umoja,ukweli,haki,amani,usawa mbele ya sheria,ustawi wa jamii na maendeleo kwa wote

6:Falsafa ya chama(philosophy):Umoja wa kitaifa,ukweli,uwazi,mshikamano na ujenzi wa jamii ya kidemokrasia iliyo huru na haki inayotendeke kwa wakati

7:Kauli mbiu ya chama(Slogan):Kibwagizo:CHAUMMA Kiitikio:''NGUVU YA MABADILIKO'' Lugha ya kiingereza ''CHAUMMA'' Kiitikio "POWER FOR CHANGE''

8:Msingi wa chama(foundation):Umma ndiyo chimbuko la mamlaka ya dolana maendeleo ya kiuchumi,kisiasa,kiutamaduni na kijamii

9:Chama cha Ukombozi wa umma(CHAUMMA) kitakuwa na muundo ufuatao

i} Chemichemi:
Ni ngazi ya chini na ya kwanza ya chama inayoundwa na wanachama wasiopungua watano(5) na wasiozidi kumi na Tano(15)

ii}Tawi:Ni ngazi ya pili ya chini na ya kwanza ya chama inayoundwa na chemichemi zisizopungua kumi(10) na zisizozidi thelathini (30) zilizoko kwenye tawi hilo

iii}Kata/Wadi:Ni ngazi ya tatu ya chini ya chama inayoundwa na matawi yasiyopungua matano(5) na yasiyozidi kumi na tano(15) yaliyoko kwenye kata hiyo

iv}Jimbo
:Ni ngaziya kwanza ya kati ya chama ambayo na kata/wadi zisizopungua kumi(10) na zisizozidi ishirini na tano(25) kwenye jimbo hilo la uchaguzi

v}Mkoa:Ni ngazi ya pili ya kati ya chama ambayo inaundwa na majimbo yote ya uchaguzi yaliyoko kwenye mkoa huo

vi}Kanda:Ni ngazi ya tatu ya kati ya chama ambayo inaundwa na mikoa yote iliyomo kwenye kanda kama itakayogawiwa na halmashauri kuu ya taifa ya CHAUMMA
 
Ninachojua gazeti la Hoja ni la usalama wa Taifa. Anayebisha nitampa mpaka na jina la boss wao.
 
CHAUMMA,

CHAUMMA kama ilivyo jina lake ni chama cha watu.Fursa ni kwa wote.Katika kanuni na katiba yetu hakuna kiongozi atakayekaa kwenye nafasi yake kwa zaidi ya vipindi viwili.Aidha apande ngazi ya juu,ya chini ama aondoke kwenye nafasi ili kutoa fursa kwa wengine kusukuma gurudumu la ukombozi.Tunaamini kama hatutaweza kuzingatia demokrasia ndani ya chama basi hatuwezi kulinda demokrasia na haki ya kijamii ndani ya Taifa letu.Karibuni
Hivi mnapo unda vyama vyenu huwa hamkai na kutafakari kwa undani sana juu ya Umuhimu wa kuunda chama Kitaifa na chenye itikadi na falsafa tofauti ktk ujenzi wa Nchi na sio watu?. Yaani napokusoma hapa inanipa picha kwamba chama hiki lengo lake ni kufanya mabadiliko ya muundo wa vyama hivyo hio Power for change ni tofauti ya uongozi ndani ya chama na sii mabadiliko ktk kuijenga Tanzania.
Nimekusoma sana na kila mahala unachosisitiza ni tofauti ya chama hiki na vyama vingine ktk ujenzi na ugawaji wa madaraka yatakavyopewa wanachama wake. Mnajaribu kubadilisha WATU kwa kutoa uhuru na nafasi sawa ndani ya chama hii kitu ya kulinganisha WATU sijawahi kuiona kisiasa.
UTANGULIZI ndio summery ya yaliyomo hivyo kama kweli lengo la CHAUMMA ni kutofautiana na CHADEMA au CCM ktk nafasi na muda wa uongozi wa chama (demokrasia) bila shaka hiki chama ni 'Employment Agency'..
 
CHAUMMA,

Hivi mnapo unda vyama vyenu huwa hamkai na kutafakari kwa undani sana juu ya Umuhimu wa kuunda chama Kitaifa na chenye itikadi na falsafa tofauti ktk ujenzi wa Nchi na sio watu?. Yaani napokusoma hapa inanipa picha kwamba chama hiki lengo lake ni kufanya mabadiliko ya muundo wa vyama hivyo hio Power for change ni tofauti ya uongozi ndani ya chama na sii mabadiliko ktk kuijenga Tanzania.
Nimekusoma sana na kila mahala unachosisitiza ni tofauti ya chama hiki na vyama vingine ktk ujenzi na ugawaji wa madaraka yatakavyopewa wanachama wake. Mnajaribu kubadilisha WATU kwa kutoa uhuru na nafasi sawa ndani ya chama hii kitu ya kulinganisha WATU sijawahi kuiona kisiasa.
UTANGULIZI ndio summery ya yaliyomo hivyo kama kweli lengo la CHAUMMA ni kutofautiana na CHADEMA au CCM ktk nafasi na muda wa uongozi wa chama (demokrasia) bila shaka hiki chama ni 'Employment Agency'..

Tafadhali vuta subira.Tunaomba utuhukumu kupitia sera yetu na itikadi itakayowekwa online hivi karibuni.Nilijibu ili kuweka sawa baadhi ya propaganda zilizosambazwa kwa malengo mahususi.

Tovuti yetu itakuwa hewani muda si mrefu ili uwe katika nafasi nzuri zaidi ya kuhukumu.Kumbuka chama kina umri wa masaa 72 tu baada ya usajili wa muda

Tutatoa darasa la demokrasia kwa taifa na afrika kwa ujumla.Tutawaeleza watanzania ni kwa nini vyama vingi vimeshindwa kukata kiu yao,tutawaeleza suluhisho na njia ipi tutumie katika harakati za ukombozi.Tutayajibu haya kupitia sera zetu.
 
system at work. Habari hizo hazitutishi sisi cdm tupo imara kabisa. Peoplesssssssssssss

Tuendelee kuwachanganya magamba, wamepoteana, hizi pasi ndefu hawaziwezi, subiri ninakuja na mkakati, huo utaitwa funga funga.... kazi wanayo CCM
 
Usanii mtupu!!!!!
Kwa agomvi upi walio nao na chadema?
Yaani akina Slaa wachangie kuipaisha chadema alafu waiasi kirahisi namna hiyo?
Haiingii akilini;hasa pia ukizingatia hadhi ya kiudaku ya source!!!
 
hivi wamemsahau rais wa madagascar na meya wa jiji la antananarivo ambaye alikuwa dj, then mc na sasa ni rais wa nchi hiyoooooooooooooooo
 
rais wa sasa wa madagscar ni aliyekuwa meya wa jiji la antananarivo, dj na mc huko nyuma. what is wrong mtu kuwa DJ? hivi hawa wehu watazidi kuwa wehu mpaka lini? au ukitaka uongozi na kama huko nyuma ulikuwa msukuma mkokoteni then ukapanda chati kihalali bila kuchakachua kama wale phd feki kuna ubaya gani?
 
Wanachama wa cuf wote ni uhamsho hivi viongozi wakuu wa juu wa cuf ukimtoa mtatiro kuna mkristo kweli? ndio maana mnachuki na wakristo mpaka mnawachomea makanisa
 
Tafadhali vuta subira.Tunaomba utuhukumu kupitia sera yetu na itikadi itakayowekwa online hivi karibuni.Nilijibu ili kuweka sawa baadhi ya propaganda zilizosambazwa kwa malengo mahususi.

Tovuti yetu itakuwa hewani muda si mrefu ili uwe katika nafasi nzuri zaidi ya kuhukumu.Kumbuka chama kina umri wa masaa 72 tu baada ya usajili wa muda

Tutatoa darasa la demokrasia kwa taifa na afrika kwa ujumla.Tutawaeleza watanzania ni kwa nini vyama vingi vimeshindwa kukata kiu yao,tutawaeleza suluhisho na njia ipi tutumie katika harakati za ukombozi.Tutayajibu haya kupitia sera zetu.
Sera uya nini ikiwa itikadi na Falsafa ya chama ni kufanya mageuzi ya Uongozi ndani ya vyama tofauti na CCM au Chadema? Sera hizo zitatokana na kipi tofauti au ndio hujui Siasa mnabangaiza ktk kutafuta ulaji.. Hii ni Employment agency na bila shaka madaktari na walimu watajiandikisha kwa wingi kutokana na Uongozi unatoa mishahara mizuri sana.. Kifupi mmeniwahi kweli maana hili deal sikulishtukia ningekuwa wa kwanza kuanzisha. Damn U good kucreate ajira kwa vijana!
 
Hiki kiji-gazeti cha Hoja pamoja na kila cha Sauti Huru vinatia aibu kwa tasnia ya habari. Aibu aibu aibu ukisoma mambo wanayoandika humo ndani. Wengi wa waandishi wa hivi vijarida ni wanaume na ndio nashangaa wanaume gani wanandika umbeya kama huu?

Hoja wamezuka na CHAUMMA kuwa ni kimeanzishwa na CHADEMA! Nani asiyejua CCM ndio magwiji wa kuanzisha vyama vya msimu? Lakini pia hawa Hoja wamejikita sana kumshambulia Freeman Mbowe yeye binafsi kwa kusema kuwa 'DJ kuiongoza Tanzania kitakuwa kilele cha udhaifu'. Mbowe amekuwa kwenye siasa miaka 20 sasa imekuwaje leo ndio wanaona u-DJ wake? Hao ambao si ma-DJ wamefanya nini hii nchi?

Sauti Huru wao kazi yao ni moja - kuhubiri ukabila. Na waandishi wake ni wafanyakazi ofisi za CCM-Lumumba. Sijui CCM watajitoaje kwenye hii dhambi ya kugawa watanzania? Watapata wapi moral authority ya kusema wao ni chama cha watanzania wote na sio mafisadi? Wanataka watanzania wajikite kujadili ukabilia, udini ili wao CCM waendelee kuifasadi nchi?
RAISI RAJOELINA alikuwa DJ maarufu ANTANANARIVO kama ilivyokuwa kwa MH MBOWE , DSM, lakini kwa kwa sasa RAJOELINA ni RAISI wa MADAGASCAR. Kwamba MH MBOWE hawezi kuwa raisi kwa sababu alikuwa au ni DJ haina mshiko.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Wakuku hawa magamba washa changanyikiwa hao, wasiwape taabu hata kidogo nikuwapuuza tu! HATIMA YAO 2015. Ukigombana na kichaa .......................,
 
RAISI RAJOELINA alikuwa DJ maarufu ANTANANARIVO kama ilivyokuwa kwa MH MBOWE , DSM, lakini kwa kwa sasa RAJOELINA ni RAISI wa MADAGASCAR. Kwamba MH MBOWE hawezi kuwa raisi kwa sababu alikuwa au ni DJ haina mshiko.

CCM wanahainga sana kupiga umbeya kuhusu nyumba ya jirani kwa kisiongizio kuwa ugonjwa wanaoguwa umesababishwa na jirani. Lakini kwa hakika tatizo la CCM ni CCM wenyewe. Sijui wanahitaji brain transplant kuelewa hili. Inashangaza kuona watu wazima wanahainga mara kuanzisha vijarida uchwara, mara personal attack, mara kuteka watu na kuwanng'oa meno au hata kuzomea bungeni! Huku ni kupoteza muda kwa sababu bado tatizo liko pale pale, CCM!

Na kama hawaamini hebu wajikumbushe haya:

1. Ni lini bunge likachunguza Ikulu? (kamati ya bunge na issue ya Jairo na aliyekuwa Katibu mkuu Ikulu)
2. Ni lini bunge lilisimama kidete na kusababisha waziri mkuu kujiuzulu - tena ndani ya bunge na kwa hasira?
3. Ni lini wabunge waliandaa saini 70+ ili kumwajibisha waziri mkuu?
4. Ni kwa nini wabunge tena wa CCM walisimama ndani ya bunge na kulaani mawaziri huku wengine wakisema - 'tuende kwenye caucus?
5. Ni mara ngapi waziri mkuu anatofautiana na rais - rejea kauli za rais na waziri mkuu kuhusu nyongeza ya posho kwa wabunge.

List ni ndefu, na cha kushangaza CCM bado wanahangaika na CHADEMA wakati matatizo yako ndani ya CCM. Watafilisika na siasa za maji taka kupitia hivi vijarida uchwara na bado wananchi wataendelea kuchukia chama chao. Wanatakiwa kujitazama upya na kujirekebisha. Kwa jirani mambo ni safi.
 
Kweli kuweweseka kubaya!
CDM inawafanya mnapoteza muelekeo
Wamewachanganya kiasi cha kukosa hoja kiasi hiki?
Mmeona hamna namna ya kupambana nao bila kuzusha?
Bahati nzuri CDM inaongozwa na watu makini!
Kila mgomo CDM
Mbunge wa CCM akitetea wananchi CDM
Watu wakidai haki CDM
Kuweweseka kubaya!
Bungeni mnashupalia bajeti mbadala badala ya ya Serikali
Zindukeni: u r losing it guys
Mnaiua CCM kwa mbinu zenu za hovyo na hatutawasamehe
Acheni kuing'ang'ania CDM boresheni CCM
 
Magazeti Leo Ijumaa


DSC_5198.JPG


DSC_5199.JPG



Pole kamanda Naona bado unasumbuka/sumbuliwa na vijigazeti vya UWT, Royal Family, mafisadi, Chama Cha Mabwepande na jamaa zao, pole tena. Sijui wana mkosi gani hawa, kila wanachotamani kitokee kwa CHADEMA hawapati. Mfano wanatamani kweli viongozi wakuu wa CHADEMA wasiwe wamoja, wameshindwa kabisa. Wakifanya yale mambo yao mengine ya kutaka kuharibu mijadala mikubwa kwenye jamii, wanaharibu zaidi na kutengeneza mijadala mingine mikubwa kuliko. Wakifanya, wanakosea, wasipofanya wanalundikiwa kila aina ya lawama.

Sasa matokeo yake wamesahau hata kazi yao ya kuongoza. Fully affected by CHADEMA-phobia. Utafikiri CHADEMA ndiyo imewazuia kutekeleza ahadi yao ya maisha bora, viwanja vya ndege, meli kubwa kuliko Mv Bukoba, meli ziwa Nyasa, Meli Ziwa Tanganyika, meli Ziwa Rukwa, meli Ziwa Mbwemkuru...ooh sorry what a tongue slip, meli Mto Mbwemkuru, meli Mto Malagarasi, meli Mto Simiyu, meli Ziwa Natron na wapi vile.

Mnaanzisha vyama ninyi wenyewe halafu mnawashwa washwa kweli kuwahi kusema vina akina fulani...very old fashion of spinning. Poleni.

 
Tafadhali vuta subira.Tunaomba utuhukumu kupitia sera yetu na itikadi itakayowekwa online hivi karibuni.Nilijibu ili kuweka sawa baadhi ya propaganda zilizosambazwa kwa malengo mahususi.

Tovuti yetu itakuwa hewani muda si mrefu ili uwe katika nafasi nzuri zaidi ya kuhukumu.Kumbuka chama kina umri wa masaa 72 tu baada ya usajili wa muda

Tutatoa darasa la demokrasia kwa taifa na afrika kwa ujumla.Tutawaeleza watanzania ni kwa nini vyama vingi vimeshindwa kukata kiu yao,tutawaeleza suluhisho na njia ipi tutumie katika harakati za ukombozi.Tutayajibu haya kupitia sera zetu.

Mlimila dole!!!(just imagination) mmekuwa tayari marehemu watarajiwa!
 
BREAKING NUUZI,MKAKATI WA DR SLAA KUJIUZULU CHADEMA AMEKARIBIA,SIKU YOYOTE HADI SASA ATAJIUZURU NAFASI YAKE HIYO,MTOA CHANZO CHA HABARI ANADAI KUWA,DK SLAA ANATUMIA NGUVU KUBWA YA KUKINADI CHAMA LAKINI HANA ANACHOFAIDIKA, NA ANAKUMBUKA UBUNGE ALIOUACHA.MTOA HABARI HIYO AMEONGEZA KUWA CHAMA HICHO KINAWABEBA ZAID WATU WALIOKARIBU NA MWENYEKIT ZAIDI KULIKO VIONGOZI WENGINE WA CHAMA HICHO,PIA ALIONGEZA PIA KUKUBALI MAONI YA WAZEE WA JAMII YAKE KUMUOMBA KUKIHAMA CHAMA HICHO KWANI WANAMTAKA ARUDIE UBUNGE WAKE,PIA KASHFA YA KUMUHUSISHA NA TUKIO LA DK ULIMBOKA BAADA YA KUVUJA KWA MKAKATI,PIA MCHUMBA WAKE ANAMTAKA WATUMIE MAISHA YALIYOBAKI KWA AJILI YA FAMILIA
chanzo;tanuru la fikra
 
Hoja ni gazeti la Usalama wa Taifa kwa wale ambao hawana habari, lipo kwa ajili ya propaganda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom