Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Gazeti la Mwana Halisi la leo limekuja na ripoti ya namna vigogo wa serikali na chama wanavyomiminika kimyakimya kwenda Chato kumhiji na kufagia kaburi la aliyekuwa rais wa awamu ya tano!
Swali la kujiuliza kuna nini kinaendelea ndani ya chama na serikali?
Swali la kujiuliza kuna nini kinaendelea ndani ya chama na serikali?