Vigezo vya NACTE

pilato93

JF-Expert Member
Jun 28, 2014
6,206
6,440
Habari ndugu,

Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna dogo alikuwa anasoma hii elimu ya kati,kamaliza certificate, mwaka huu kamaliza diploma yake.

Sasa nasikia kesho mwisho wa kuofanya maombi ya kujiunga na degree na hawezi jiunga na degree pasipo AVN kutoka nacte, na kafany maombi nacte wanagoma kuthibitisha wanamwambia kuwa hakuwa na vigezo vya kusoma nta level six.

Yeye anasema kuwa ana c, d na e tatu zote kapata miaka tofauti hapa nashindwa elewa, najua qualification ni D nne , amenichanganya kidogo, amekubaliwa vipi kusoma mpaka amalize diploma wamgomee mwishoni inamaana level nyingine kapitaje?

Mwenye uelewa aeleze hapa.
 
Habari ndugu,

Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna dogo alikuwa anasoma hii elimu ya kati,kamaliza certificate, mwaka huu kamaliza diploma yake.

Sasa nasikia kesho mwisho wa kuofanya maombi ya kujiunga na degree na hawezi jiunga na degree pasipo AVN kutoka nacte, na kafany maombi nacte wanagoma kuthibitisha wanamwambia kuwa hakuwa na vigezo vya kusoma nta level six.

Yeye anasema kuwa ana c, d na e tatu zote kapata miaka tofauti hapa nashindwa elewa, najua qualification ni D nne , amenichanganya kidogo, amekubaliwa vipi kusoma mpaka amalize diploma wamgomee mwishoni inamaana level nyingine kapitaje?

Mwenye uelewa aeleze hapa.
Baada ya kuja huu utaratibu wa AVN,kuna baadhi ya watu wameliwa vichwa.Maana vyuo vilikuwa vinachukua watu na kuwasajiri bila vigezo vilivyo wekwa na nacte.

Vigezo vya nacte kwa ngazi ya cheti ni D 4 kwa O-level.Pia kuna specific condition qualifications kwa baadhi ya course.Mfano kuna course itakutaka miongoni mwa pass ulizonazo,kuwe na pass ya hesabu.

Kwa uhakika zaidi wasiliana na chuo ili watoe ufafanuzi wa jambo hilo.Kama alisoma bila vigezo na kwa nini wamsajiri mwanafunzi hasiye na vigezo vilivyo wekwa na nacte.
 
Back
Top Bottom