Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Kama mtanzania, ninapitia bajeti ya serikali yetu na ninaona ina mapungufu mengi na ya msingi, nashangaa kuona wabunge 81 tu ndio walioweza kuona mapungufu hayo na kuipinga, wabunge 234 wamepitisha mapungufu hayo tena kwa kupiga vigelegele na kuzomea wale walioipinga. Inasikitisha, lakini ndo viongozi tulionao!