Smart-brain
Senior Member
- Mar 17, 2014
- 101
- 62
"Msema kweli ni mpenzi wa Mungu"! Usemi huu si mpya tena kwetu! Japokuwa hata Teja anaweza sema kweli wakati fulani, ila kwa tabia na matendo yake, hayampi guarantee Teja huyo kuingilia Mbinguni/ Peponi!
"Ukweli una tabia moja mzuri sana. Haujali wala mdogo; haujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kijilipiza kisasi kama ukipuuzwa. Ukiniona nataka kupiga teke jiwe kwa kuwa nafikiri kwa kuwa ni dogo au mpira, matumaini utanionya. Lakini nikilipuuza onyo lako kwa sababu eti wewe ni mdogo au kwa sababu sikupendi, nitalipiga teke, basi litanivunja dole japo ningekuwa nani. Ukweli haupendi kupuuzwapuuzwa! (Source: TUJISAHIHISHE, JULIUS K.NYERERE, RAIS WA TANU, Dar es Salaam, May, 1962).
Daktari "MBULULA" anaweza kumtumbukiza "Mgonjwa wake" mwenye Malaria ktk Sufuria kubwa lenye maji ya Moto ( yanayochemka), ili tu kuua vijidudu vya Malaria vinavyomsumbua mgonjwa huyo! Kiongozi " kilaza" hana reasoning skills , hukurupuka bila kujali utaratibu! Hufikiri kila maarifa anayo just because you're Prof./Dr.
Note: Mwenye kisu kikali, ndiye atakula nyama, sasa "nyama" hakuna, uko tayari kula nyama ya mguu/ mkono wako wenyewe???
Viwanda vimegeuka story, madawa Hospitalini ni kizungumkuti, deni la taifa juu, bei ya vyakula inaendelea kugrow ascendinglly, huku na huku tishio la vikwazo, mishahara ndo hivyo tena, ajira ni majanga, siasa ndo " ➕⚰, ect. Waliopiga vigelegele, nao wanaisoma "NAMBA"!
" Sijui kwenye kale kamsemo, idadi ya waliokuwa wanaishi kama malaika pepino inaongezeka/pungua???? Au wale waliokuwa wanaishi kama mashetani nayo inapungua/ongezeka?????
"TUTAYAONA NA KUYASIKIA MENGI"!
"Ukweli una tabia moja mzuri sana. Haujali wala mdogo; haujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kijilipiza kisasi kama ukipuuzwa. Ukiniona nataka kupiga teke jiwe kwa kuwa nafikiri kwa kuwa ni dogo au mpira, matumaini utanionya. Lakini nikilipuuza onyo lako kwa sababu eti wewe ni mdogo au kwa sababu sikupendi, nitalipiga teke, basi litanivunja dole japo ningekuwa nani. Ukweli haupendi kupuuzwapuuzwa! (Source: TUJISAHIHISHE, JULIUS K.NYERERE, RAIS WA TANU, Dar es Salaam, May, 1962).
Daktari "MBULULA" anaweza kumtumbukiza "Mgonjwa wake" mwenye Malaria ktk Sufuria kubwa lenye maji ya Moto ( yanayochemka), ili tu kuua vijidudu vya Malaria vinavyomsumbua mgonjwa huyo! Kiongozi " kilaza" hana reasoning skills , hukurupuka bila kujali utaratibu! Hufikiri kila maarifa anayo just because you're Prof./Dr.
Note: Mwenye kisu kikali, ndiye atakula nyama, sasa "nyama" hakuna, uko tayari kula nyama ya mguu/ mkono wako wenyewe???
Viwanda vimegeuka story, madawa Hospitalini ni kizungumkuti, deni la taifa juu, bei ya vyakula inaendelea kugrow ascendinglly, huku na huku tishio la vikwazo, mishahara ndo hivyo tena, ajira ni majanga, siasa ndo " ➕⚰, ect. Waliopiga vigelegele, nao wanaisoma "NAMBA"!
" Sijui kwenye kale kamsemo, idadi ya waliokuwa wanaishi kama malaika pepino inaongezeka/pungua???? Au wale waliokuwa wanaishi kama mashetani nayo inapungua/ongezeka?????
"TUTAYAONA NA KUYASIKIA MENGI"!