Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,243
- 12,772
shusha mtandao uwe 2G onlyInaeababishwa na nini?
Sure kabisa nadhani tigo kuna setting zao za kula hizi mb.nimetumia voda siku tatu gb 1 ila tigo jioni haifiki unaambiwa ushamalizaNatumia tigo na voda. Naweza nikanunua GB tatu za voda na zikakaa muda mrefu hadi unaridhika, hata siku tatu zinafika. Naingia Ista, youtube nk. Lakini nikinunua GB 3 za tigo hata siku zinaweza zisimalize kwa matumizi hayohayo.
Na wewe umeexperience hii ya kifurushi cha tigo kuisha haraka? Inaeababishwa na nini?
Huwajui halotel weweNatumia tigo na voda. Naweza nikanunua GB tatu za Voda na zikakaa muda mrefu hadi unaridhika, hata siku tatu zinafika. Naingia Ista, YouTube nk. Lakini nikinunua GB 3 za tigo hata siku zinaweza zisimalize kwa matumizi hayohayo.
Na wewe umeexperience hii ya kifurushi cha Tigo kuisha haraka? Inaeababishwa na nini?
Wana hii shida, wanatafuna vifurushi balaa.Sure kabisa nadhani tigo kuna setting zao za kula hizi mb.nimetumia voda siku tatu gb 1 ila tigo jioni haifiki unaambiwa ushamaliza
Ndugu Mteja,Umebakiwa na MB 256.00 za Kifurushi chako cha .Piga *102# kuangalia salio na *147*00# kununua kifurushi kingine.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Vifurushi vya voda vinaisha fasta kuliko zantelNatumia tigo na voda. Naweza nikanunua GB tatu za Voda na zikakaa muda mrefu hadi unaridhika, hata siku tatu zinafika. Naingia Ista, YouTube nk. Lakini nikinunua GB 3 za tigo hata siku zinaweza zisimalize kwa matumizi hayohayo.
Na wewe umeexperience hii ya kifurushi cha Tigo kuisha haraka? Inaeababishwa na nini?
Hapana tiGo wana kitu wanafanya hata mimi hii kitu nme experience sina matumizi makubwa ya internet lkn MB zina kata faster kuklo Airtel na vodaVifurishi huwa haviishi haraka mkuu. Matumizi yako ndio yanamaliza haraka.
Mimi hao ndio kabisa wananiibia, bando linaisha fasta na wanatuma text nimemaliza lkn nikicheki kwenye data usage na kupiga mahesabu nakuta karibia Mb 200 kwny Gb 2 hazijatumika.Haloteli pia vinaisha sana
Nikiwa na bando la voda huwa nakuwa na amani sana. Nafanya vurugu zote. Cha Tigo nakaa kwa machale sana.Mimi Katika kutumia Halotel , Airtel na Voda . Kwa Voda naona bando linakaa na na linaisha kihalali kulingsnisha na wengine .
Hilo halielezei kwanini kifurushi cha Tigo kinaisha haraka kuliko cha vodaUnatumia Instagram na Tiktock, una washa data full time, huweki data saver, na huja turn off "background data" kwenye setting halafu kwa siku unanunua MB 500 utaendelea kulaumu watu!
Hata mimi kuna siku nikijaribu kuunga cha Gb 2.2 mpk nikajisemea au wamenisahau wamenipa 5gB maana nimetumia pakubwa na bado nadundaNikiwa na bando la voda huwa nakuwa na amani sana. Nafanya vurugu zote. Cha Tigo nakaa kwa machale sana.
Yaani saizi nawaza sijui nihamie mtandao gani,Tigo wamekuwa wezi kama voda,voda nilishaacha kutumia .Natumia tigo na voda. Naweza nikanunua GB tatu za Voda na zikakaa muda mrefu hadi unaridhika, hata siku tatu zinafika. Naingia Ista, YouTube nk. Lakini nikinunua GB 3 za tigo hata siku zinaweza zisimalize kwa matumizi hayohayo.
Na wewe umeexperience hii ya kifurushi cha Tigo kuisha haraka? Inaeababishwa na nini?