Vifurushi vya Airtel vya chuo vimeondolewa

Vifurushi vya Airtel vya chuo vimeondolewa

*149*99#, Chagua Namba 7 Uni, Kisha Namba 2.
Hapo namba 2 ilikuwa 1000/- unapata 1GB, 100Min Airtel-Airtel, 10Min Mitandao yote, SMS 1000 kwa siku tatu.
Ilikuwa inapatika kwa wateja maalum tu watumiaji wakubwa wa data na dakika, wateja wa muda mrefu.

Sasa haipo wanakupa madakika kibao ya kuongea bila kifurushi cha net.
Mbona mie sina icho kifurush tangu nasajili laini yangu ya airtel?
 
Mbona mie sina icho kifurush tangu nasajili laini yangu ya airtel?
Sio wote walikuwa wanapata hiki kifurushi, ni wateja maalum.nadhani wenye matumizi makubwa ya vifushi vya internet na voice.
Jaribu *149*81# kisha bofya namba 4.
Kwa hisani ya Beira Boy a.k.a Mason Mount
 
Sio wote walikuwa wanapata hiki kifurushi, ni wateja maalum.nadhani wenye matumizi makubwa ya vifushi vya internet na voice.
Jaribu *149*81# kisha bofya namba 4.
Kwa hisani ya Beira Boy a.k.a Mason Mount
Wala sio hivyo, bali lazima line iweni ile ya chuo
 
Kesho nakivunja hiki kilain chao wapuuz kabisa
Halafu wasichokijua airtel wenyewe wana wateja wa msimu wanaokimbia kwingine. Ilitakiwa wawashikilie kweli kweli. Afisa masoko wao hajui kupandisha wateja wa kudumu
 
Wala sio hivyo, bali lazima line iweni ile ya chuo
Mimi laini yangu ni ya kawaida tu, nilinunua zamani kabla ya line za chuo na baadae vifurushi vya chuo.
Na nilikuwa naipata hiyo huduma muda wote.
 
Mimi leo ndio nimejikwaa. Nimezoea naingia tu UNI OFFERS,nakuta mzigo haupo. Ikabidi niingie wa buku 2 kwa siku 3
Hata mimi nimezoea kuingia kwa *149*99# nashangaa nakuta madakika tu. Sijazoea menu nyingine.
 
Back
Top Bottom