Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,787
Ni kampuni ipi ya simu yenye vifurushi nafuu maana huku Airtel wanaua. Nataka kuhama as soon as possible.
Msaada wenu wakuu .
Msaada wenu wakuu .
Njia moja hallotel overHalotel & Tigo
Wathengee haoWameniuz sana kesho narud zangu ttcl sitaki shida
Hii vocha ya buku niliyoweka leo ndo ya mwisho
Wazungu wanasema boycottWameniuz sana kesho narud zangu ttcl sitaki shida
Hii vocha ya buku niliyoweka leo ndo ya mwisho
Mkuu nilikuwa nataka kuanzisha thread kuwaambia Airtel wanaenda kupoteza wateja wao muhimu loyal customers hasa watumiaji wa kile kifurushi cha Uni cha Siku 3 1GB@1000/-. mara nikaona hii thread.Wameniuz sana kesho narud zangu ttcl sitaki shida
Hii vocha ya buku niliyoweka leo ndo ya mwisho
Mkuu nilikuwa nataka kuanzisha thread kuwaambia Airtel wanaenda kupoteza wateja wao muhimu loyal customers hasa watumiaji wa kile kifurushi cha Uni cha Siku 3 1GB@1000/-. mara nikaona hii thread.
Hawa jamaa watajutia huu uhamuzi wao.
Watu tuna miaka mingi Airtel sababu ya vifurushi vyao vya uhakika vinavyo unganisha Data na Muda wa maongezi.
Narudi kwenye line zangu za mitandao mingine, kama vipi naenda TTCL kabisa nasikia nyumbani kumenoga.
Kesho nakivunja hiki kilain chao wapuuz kabisaWathengee hao
Kuna Mdau hapo juu kasema wanashirikiana sana hawa jamaa wa mitandao.Mkuu nilikuwa nataka kuanzisha thread kuwaambia Airtel wanaenda kupoteza wateja wao muhimu loyal customers hasa watumiaji wa kile kifurushi cha Uni cha Siku 3 1GB@1000/-. mara nikaona hii thread.
Hawa jamaa watajutia huu uhamuzi wao.
Watu tuna miaka mingi Airtel sababu ya vifurushi vyao vya uhakika vinavyo unganisha Data na Muda wa maongezi.
Narudi kwenye line zangu za mitandao mingine, kama vipi naenda TTCL kabisa nasikia nyumbani kumenoga.
Kwani hatuwezi kuishi bila bundle la internet au voice airtime?Kuna Mdau hapo juu kasema wanashirikiana sana hawa jamaa wa mitandao.
Hapo ukikimbia voda nako hakukaliki, hivyo hao tigo, ttcl, halotel ni jambo la muda tu.
Mkilalamika sana yule Jamaa akipata habari mtamsikia "kama Mtu anaona huduma ni aghali akaanzishe mtandao wake"