Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
- Thread starter
- #41
Kwa watu wa Iringa sawa lakin si kwa kila mtu. Kwa mfano mtoto anayebakwa anapofichwa uso wake siyo kwamba kwa wale walioshuhudia au ndugu zake hawamjui.Sasa unaficha nini wakati umewataja tayari.Hao wanafahamika kwa wakazi wa Iringa.