Sokoine na Salome Mbatia wote waliuwawa kwa jari za barabra iweje moja umeitolea maelzo kuwa aliuliwa na wahujumu uchumi na mwingine umesema ajari ya barabrani nani alithibitisha hayo...Mbona nasikilia salome mbatia aliuwawa baada ya kugundulika kuwa iko siku ataboa siri ya pesa za EPA maana yeye ndiyo aliepewa jukumu la kuzipokea kutoka kwa makampuni yalio kuwa yanazichukua benki kuu....
Je wewe una taarifa mhimu kulko Vicent Nyerere kuwa Nyerere alikufa kwa ngoma...
kwa kuwa ugonjwa wa Mwakyembe unafanana na wa mwalimu yaani ugonjwa wa gozi je Mwakyembe nae ana ngoma...
Kumekuwepo na maneno ambao hayajawahi kukanushwa wala kusibitishwa na viongozi wa serikali ya CCM juu ya vifo vya viongozi mbalimbali waliowahi kushika nyazifa za juu kwenye serikali ya CCM. lakini walikuja kufa kwenye mazingira ya kimagumashi/ kutatanisha hasa baada ya kuhitirafiana na CCM na wananchi kuituhumu serikali kuwa ilihusika kuwaua viongozi hao vipenzi vya watanzania walio wengi …
Sasa ni wakati mwaka kutueleza kinaga ubaga juu ya vifo hivi maana kuna wengine wako njiani ambao wamekuwa wakitajwa tajwa kuwekewa sumu na serikali ya CCM na wenyewe kukiri tofauti na walio tangulia mbele ya haki, ni wakati mafaka hasa baada ya Mtoto wa marehemu Mwalimu JK Nyerere kuweka baya kuwa raisi mstafu ndg Benjamini Wiliam Mkapa alimuua Nyerere .
Kama ifatavyo
Orodha inaendelea
- Karume
- Edward Moringe Sokoine
- Kighoma Malima
- Horace Kolimba
- Imrani Kombe
- JK Nyerere
- Salome Mbatia
- Karume - Huyu aliuawa na mwanajeshi ambaye baba yake aliuawa na Karume akimwita ndumila kuwili
- Edward Moringe Sokoine - Huyu aliuawa na wahuju uchumi akina Rashid Kawawa na Cleopa Msuya
- Kighoma Malima - Huyu aliuawa na Kikwete kwa presha baada ya kufungiwa akaunti zake za Uingereza
- Horace Kolimba - Huyu aliuawa na Mkapa na Nyerere baada ya matamshi yake kwamba ccm imekosa mwelekeo
- Imrani Kombe - Aliuawa na Mkapa baada ya kutuhumiwa kumpigia debe Mrema
- JK Nyerere - Aliuawa na Gonjwa Kubwa
- Salome Mbatia - Aliuawa na Ajali za barabarani, labda ilikuwa ajali ya kupangwa.
Je tanzania ukizeeka serikali ya CCM wana haki ya kukuua au hapa ulikuwa unataka kusema nini mkuu....Usukumani wazee huuliwa je ni sera ya CCM...
Samahani mkuu huyu ni nani katika medani za siasa au alimu? au
Mhhh_Mungi bhana,..hebu niambie mzee wangu nani/nini kilimuua.
CHACHA ZAKAYO WANGWE
REGIA ESTALAUS MTeMA
Igwe umenishtua sana mpaka ikanibidi nianze kupekua kwenye makabrasha zangu.
Nimekuja kugundua kuwa kumbe baba wa taifa aliuwa na MTANDAO WA AKINA LOWASS ili asiwazibie riziki!
Kweli Tanzania ya Serikali ya CCM ni kama uijuavyo!
Mkapa ni Muuaji, Lowassa ni Jambazi muuaji! Kikwete hivyo hivyo!
kumbeeeeee! Nyerere aliuliwa na mkapaaa!, kumbeee! Profesa mwakyusa alipewa uwaziri wa afya ili kulinda siriiiii!daaaa, kumbeeee! Kutoka dactari wa nyerere mpaka uwaziri bin vuuuu!, aaaaa! Siri imefichukaaaaaaa.
Kuna sehemu mtu amesema watu wasife.......je hao ni watanzania wa kwanza kufa tunataka serikali ya CCM itolee ufafanuzi utata wa vifo vya viongozi hao.
hekalu lake kule kunduchi karibu na pale umeme wa Zanzibar unapoanzia limegeuka chaka,sijui huyu bwana hakuwa na ndugu kwa maana ule mhekule umekuwa kama shamba la mkonge lililoachwa bila huduma ,vichaka vimezunguka hilo hekalu ni kama gofu vileAlikuwa Naibu Waziri wa Madini na Nishati then Biashara na Viwanda nadhani......was gunned down
May 1, 1997 at 12:50 am
Once again Tanzanias unpredictable electorate has surprised the nation. This was in the second and third by-elections under the multi-party system. The results of the Magu, (Mwanza Region) by-election, following the death of the late MP Mr Malaki Lupondije and the Morogoro North by-election, following the murder of Professor Nicas Mahinda MP, are given below. Some mystery surrounds the death of Professor Mahinda. The police have been quoted as saying that the MP was probably killed by a bullet from his own shotgun fired by his mason, Mr Franco William, while some 30 armed bandits were raiding the professors beach house in Dar es Salaam. Mr William was arrested.