Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Kwani hiyo hetel iko wapi labda nime changanya majina, ila nayo isema iko huku Town kama sijui maeneo ya Billicans or ile Margott maeneo hao, isije kuwa nime changanya naile ya kule Ocean Road pake jirani na petroil station kwa Manji seaview
Hiyo Ettiennes ukitokea junction ya Palm beach kama unaenda Aga khan hospital, kwanza utapita Sea View hotel halafu utaikuta Ettiennes, zote zipo kushoto.
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomedha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
Zamani sisi tulikuwa tuna minho na watoto wa kishuwa kutengeneza nao
Netwrk,ushkaji
We usiuliona zamani watu wanakuja pale donbosco kwenye ma event
Watu wanajichanga kwenye matamasha ya shule za mzizima na shaban Robert sjui ma food bazaar nk
Mara tumewnda tanesco kwenyw viwanja vya kikapu nk
Mara kuna sehemu wameendaa Beach party sjui bottle party watu mnajichanganya
Kids ndy watoto wa obay na regent wakawa wanakuja kujichanganya na watoto wa kinondoni...ila wakija kinondoni nao wanaangalia watu na maeneo

Ova
 
Hivi kwani lazima usome sasa? siamini kama umeshikiwa bunduki kichwani , kama hu enjoy kusoma hii mada then why are you here? si kuna mada nyingi tuu why uko hapa? uko hapa sababu una enjoy kusoma kinacho andikwa na tukiacha utakuwa bored, kama kuna mada nyingine muhimu na uko buzzy nazo usinge kuwa hapa kusoma comment moja hadi nyingine , ungekua huko , ila unajua mada iliyo hot and treding ni hii na ndio sababu uko hapa au nakosea? kumbuka ina 9k mpaka sasa .
Ungejua kuwa anakutoa povu huyo ungempuuzia tu
 
Bora ume admit possibly alikuwa targeted. Haya mambo wewe unayachukuliq kijuujuu tu. Umekuja na swali, halafu cha ajabu mahali umeishia kujijibu mwenyewe. Kunbe jibu ulikuwa nalo all along? Simply amazing.
Tatizo una maumivu kupita kaisi hata huoni ninacho andika, kila sehemu nime sema tetesi ( Allegedly) wapi nime jijibu , kabla huja panic kw akusoma comments za watoto wa kishua na kuumia hebu tulia kunywa maji mengi , vuta pumzi sahau machungu uliyo pitia kwa kuomba massage kw amkeo then ndio usome hizi comments la sivyouna weza patwa na hert attack bila sababu
 
Alafu isichukuliwe kuwa waliopata neema ya kuishi ushuani na baba zao waliokuwa na nafasi serikalini miaka hiyo kwamba sasa hivi life imewachapa; not at all na hata kama wapo basi ni wachache sana! Wengi bado maisha ni mazuri kabisa.
Mfano sisi hatukupata bahati ya kupelekwa UK or USA, ila ile exposure tu ya kuishi kwenye ile standard ya maisha ya ushuani inakuwa kama iliweka benchmark on how life should be! Sio sifa na isiwe siri, hapahapa TZ tuliweza kujua maisha yanapaswa kuwa namna gani and life is good tena pengine zaidi ya ilivyokuwa wazazi wetu. Mfano nakumbuka mzee wangu kwa nafasi yake he had 3 cars of his own, Peugeot 504, pick up ya Peugeot 404, na Ford CortinaL nakumbuka anaitumia Saturday na Sunday tu kwa mitoko binafsi! Gari za ofisini used to be Peugeot 505 ama Landrover 109 na hizo zina dereva!

Maisha ya sasa knowing standard inatakiwa kuwa namna gani, nje hayakosekani magari matatu kwa namna yoyote na yote ni ile ooops gari hiyo sio chombo cha usafiri.

Angalizo: bitterness sio healthy u may end up injuring your internal organs.
Sure wengi wako tu vizuri, watoto wa kishua wengi wana confidence sana hata makazini wengi wanajua limit zao halaf hawana roho korosho ingawa wengine dah wana ukorofi! dah nakumbuka mitaa ya home kulikuwa na mshua alikuwa finance director wa shirika fulan la umma miaka hiyo. Yupo bado hai na yupo vizur tu. Mwanae wa 1 yupo US, wa pili alienda UK akawa mla unga mshua akamrudisha bongo akawa rehab muda kadhaa now yupo njema. Nakumbuka miaka hiyo watoto wa huyo mzee wanakuja kucheza na mipira mipyaaa wakati sie twachezea ya makaratasi! enzi hiyo wana baiskeli BMX tunacheza mpira huku mtoto mmoja wa kishua ana video camera anarekodi dah. Watoto wote wa hizo familia walienda shule nzuri vyuo mambelez wengine bongo na now wana maisha mazuri maana tayari wazaz walishaset standards so watoto wanataka waishi standard ya juu zaid! Kifupi ni mtu kufight kuwa kwenye class ya juu ili kizaz chako kiishi vizuri.
 
Mnapelekwa na Banzi na crew yaje ya Namanga.

Mnaenda kula ice cream Kimicho Namanga.

Na kuazima mikanda ya movies VHS Oysterbay Video Library.

Halafu mnaambiwa mkimaliza kuangalia tafadhali rewind
Ebwana Oysterbay Video Library ndio ilikua ule mtaa kwa balozi Hemed? aseee nilikua mdogo lakini ni ku mshobokea mmoja wa Binti yake , alikuaja olewa sijjui harusi ilifanyika kw akina afaraji au kuna harusi kw akina faraji yeye aka wa matroni , alikua mkubwa kwangu ila nilikua naenda pale ili tuu nimuone
 
Ebwana Oysterbay Video Library ndio ilikua ule mtaa kwa balozi Hemed? aseee nilikua mdogo lakini ni ku mshobokea mmoja wa Binti yake , alikuaja olewa sijjui harusi ilifanyika kw akina afaraji au kuna harusi kw akina faraji yeye aka wa matroni , alikua mkubwa kwangu ila nilikua naenda pale ili tuu nimuone
Duh mtafute upashe kiporo homeboy

Ova
 
Zamani sisi tulikuwa tuna minho na watoto wa kishuwa kutengeneza nao
Netwrk,ushkaji
We usiuliona zamani watu wanakuja pale donbosco kwenye ma event
Watu wanajichanga kwenye matamasha ya shule za mzizima na shaban Robert sjui ma food bazaar nk
Mara tumewnda tanesco kwenyw viwanja vya kikapu nk
Mara kuna sehemu wameendaa Beach party sjui bottle party watu mnajichanganya
Kids ndy watoto wa obay na regent wakawa wanakuja kujichanganya na watoto wa kinondoni...ila wakija kinondoni nao wanaangalia watu na maeneo

Ova
Idi Janguo katesa sana Don Bosco akipiga misele ya Audi na Toyota Hilux yao.

Don Bosco umenikumbusha kuna siku Masaba Makaninalipiga buzzer beater moja kali sana sekunde ya mwisho ya game, tukashuhudia mchezo mzuri sana tukaona kama NBA.

Zamani ilikuwa rahisi kujichanganya kwa sababu wote tulikuwa tunasoma shule zile zike, hususan za msingi.

Siku hizi naona matabaka yanazidi, kwa sababu watoto hawachanganyiki shuleni, wenye hela wanaenda private schools za bei mbaya wanatengeneza cliques zao huko, wasio na hela wanakwenda shule za serikali.
 
Ebwana Oysterbay Video Library ndio ilikua ule mtaa kwa balozi Hemed? aseee nilikua mdogo lakini ni ku mshobokea mmoja wa Binti yake , alikuaja olewa sijjui harusi ilifanyika kw akina afaraji au kuna harusi kw akina faraji yeye aka wa matroni , alikua mkubwa kwangu ila nilikua naenda pale ili tuu nimuone

Video Library ilikuwa Namanga hapa.

Kuna binti mmoja kama Mzanzibari hivi alikuwa anakaa Uganda Ave, mrefu, mweupe. Anaitwa Hamida or Halima. Alikuwa anasoma Shaaban Robert.

Kina Santa walikuwa wanamshobokeaa.
 
Sure wengi wako tu vizuri, watoto wa kishua wengi wana confidence sana hata makazini wengi wanajua limit zao halaf hawana roho korosho ingawa wengine dah wana ukorofi! dah nakumbuka mitaa ya home kulikuwa na mshua alikuwa finance director wa shirika fulan la umma miaka hiyo. Yupo bado hai na yupo vizur tu. Mwanae wa 1 yupo US, wa pili alienda UK akawa mla unga mshua akamrudisha bongo akawa rehab muda kadhaa now yupo njema. Nakumbuka miaka hiyo watoto wa huyo mzee wanakuja kucheza na mipira mipyaaa wakati sie twachezea ya makaratasi! enzi hiyo wana baiskeli BMX tunacheza mpira huku mtoto mmoja wa kishua ana video camera anarekodi dah. Watoto wote wa hizo familia walienda shule nzuri vyuo mambelez wengine bongo na now wana maisha mazuri maana tayari wazaz walishaset standards so watoto wanataka waishi standard ya juu zaid! Kifupi ni mtu kufight kuwa kwenye class ya juu ili kizaz chako kiishi vizuri.
NAKUAMBIAJE WAPO WATOTO WALIYOKUWA WAKISHUWA
NA MPAKA SAHVI WAKO LOWPROFILE
sasa mtu in the 80s anaenda maulaya mamarekani huko,haoni kitu kipya
Exposure ipo ya kutosha
Ila watoto wa sahv hawa wakipata kidogo basi vurugu nyingi
Alafu upepo unakata mapema

Ova
 
ila we jamaa mwamba sana,kwanza ni wa kishua,alafu nahisi unaishi mbele huko kwa sasa maana hata kiswahili kinakukataa hivi lakini cha ajabu umempa mtu makavu sijaona hata unyamwezi umo wa mazafaka sijui vitu gani gani zile shit za kimbele mbele huko.

Barikiwa sana mkuu endelea kutuheshimu hivyo hivyo ndugu zako ingawa tunaishi dunia tofauti.
Hii comment imenichekesha sana
 
Idi Janguo katesa sana Don Bosco akipiga misele ya Audi na Yoyota Hilux yao.

Don Bisco umenikumbusha kuna siku Masaba Makaninalipiga buzzer beater moja kali sana sekunde ya mwisho ya game, tukashuhudia mchezo mzuri sana tukaona kama NBA.

Zamani ilikuwa rahisi kujichanganya kwa sababu wote tulikuwa tunasoma shule zile zike, hususan za msingi.

Siku hizi naona matabaka yanazidi, kwa sababu watoto hawachanganyiki shuleni, wenye hela wanaenda private schools za bei mbaya wanatengeneza cliques zao huko, wasio na hela wanakwenda shule za serikali.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Masaba yule alikuwa anapenda kuvaa pens na kapelo alikuwa mdau wa vijana basketball pale
Kujichanganya lazima watu tulijiunga scout nk
Hahah iddy,said walisumbuaa sana sema said sahv katulia tuliii
Nyie watoto wa upanga sasa wale wa upande wa Seaview na wa kule mitaa ya kina kibonde kidg mlikuwa tofauti

Ova
 
Hivi kwani lazima usome sasa? siamini kama umeshikiwa bunduki kichwani , kama hu enjoy kusoma hii mada then why are you here? si kuna mada nyingi tuu why uko hapa? uko hapa sababu una enjoy kusoma kinacho andikwa na tukiacha utakuwa bored, kama kuna mada nyingine muhimu na uko buzzy nazo usinge kuwa hapa kusoma comment moja hadi nyingine , ungekua huko , ila unajua mada iliyo hot and treding ni hii na ndio sababu uko hapa au nakosea? kumbuka ina 9k mpaka sasa .
Lete madini Mkushi achana na hao wenye roho za kwanini naunganisha dots hpa
 
Masaba yule alikuwa anapenda kuvaa pens na kapelo alikuwa mdau wa vijana basketball pale
Kujichanganya lazima watu tulijiunga scout nk
Hahah iddy,said walisumbuaa sana sema said sahv katulia tuliii
Nyie watoto wa upanga sasa wale wa upande wa Seaview na wa kule mitaa ya kina kibonde kidg mlikuwa tofauti

Ova
Mimi kiraka Upanga nipo, Oysterbay nipo.

Mpaka Misheni Kota napa claim
 
Kuna kitu ambacho sikielewi , kuna mademu walikua wakubwa sana kwangu mimi niko darasa la tatu wao wengine sekondar au darasa la saba huko ,ila nilikua na wapenda na nina wish eti wawe mademu zangu
Leo ngoja ni wataje my childhood crush ( Mnisamehe jamaa najua wengine nita vunja heshima ni wake za watu na tunaheshimiana kwa sasa )

Judy Temu
Masha Macatta
Goudencia Shigella
Annita Mzena
Anna Mbagga
Jamillah Hemed ( nadhani huy u ndio kwao kulikua na video store )
Tibu Mwandoro
Shaka Kirigini
Kisa Kilindu
Titi (sijui last name Alikua anaka Sea Vie )
Tamika Chikawe
Zuhura Kajembo
Husna Katunda
Erica Msangi
Khadija Faraji ( nisamehe dada ila ndio ujue, yani iki muona Michelle Obama na Singer Deseree namuona Khadija tuu )
Jueliet Ngodoki
Stellah Sebwache
Lucy Mality
Pandwe Kalala
Norah Manyama
Na wengine wengi nime sawahau kuwandika hapa , ila sijui nijiite ni malaya wa rohoni nilikuwa maana wote hao nilikua na wish wawe mademu zangu wakati ni wakubwa kwangu sana tuu.
 
Back
Top Bottom