MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,297
Hivi wewe unaaamini Kikwete hawajui wanaoua tembo wetu? Ntiashangaa kama atakuwa haujui. Tatizo wanaoendesha hiyo biashara ni wale wale wanaomzunguka na kula naye. Kwani kuna siri gani kwamba Kinana anahusika na hii biashara (bila shaka hatatishia kunipeleka mahakamani kama alivyofanya kwa Mchungaji Msigwa) na huyo ndiye katibu mkuu wa chama tawala. Kwamba Kikwete hajui wakati ndege ya kijeshi kutoka ughaibuni ilikuja ikapata clearence ikatua KIA ikabeba Twiga walio hai na kuondoka.
Samahani lakini, sijui mleta mada unataka tumsaidie Kikwete kivipi?
Tiba
Tiba, mleta mada ana hoja muhimu sana ambayo ameileta kwa njia ya ustadi ili na Magambas waweze kuisoma. Nayo ni kwamba vita dhidi ya uangamizaji wa tembo haiwezi kufanikiwa kwa 'siasa za mabango'. Na kwamba JK anachokifanya ni unafiki na kufikiri kwamba wabongo ni wajinga watakaa kuduwalia mabango mijini na kuacha akina KINANA & co waendelee kupeta na uangamizaji wa tembo huko mbugani.