Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Hivi huyu mungu wetu aliamua kuvuta mafaili ya wasanii nguri mwaka huu tu kuwa ndio watangulie mbele ya kiti chake?! Sielewi kwa nini kifo hiki kimenigusa kuliko vifo vingine vya wasanii waliotangulia! Ila tuna mengi ya kujiuliza, kwa nini wasanii wetu nyota zao zinapong'aa katika medani ya fani zao ndipo nao maisha yao yanakuwa mwisho? R I P Sharo.