Vifaa vya stationery vinazidi kupaa juu. Tunaisaidiaje elimu yetu?

Mchokozi wa mambo

JF-Expert Member
Mar 27, 2014
201
159
Katika kuendesha shule au kuandaa mitahani ama fomu mbalimbali karatasi ni nyenzo muhimu sana.

Sasa zinavyopanda kwa kasi hii kwa kisingizio cha vita ya Urusi na Ukraine tutafika kweli. Katoni ya Ream ya karatasi yenye pc 5, ilikuwa inauzwa 40 000/=
Kwa sasa ni Tsh 100,000/=.

Mimi bado naamini hata kama bidhaa zimepanda sio kwa kiasi hiki. Pc1 ya Ream inauzwa 20000/= tunaumizwa sana
 
Katika kuendesha shule au kuandaa mitahani ama fomu mbalimbali karatasi ni nyenzo muhimu sana. Sasa zinavyopanda kwa kasi hii kwa kisingizio cha vita ya Urusi na Ukraine tutafika kweli. Katoni ya Ream ya karatasi yenye pc 5, ilikuwa inauzwa 40 000/=
Kwa sasa ni Tsh 100,000/=.
Mimi bado naamini hata kama bidhaa zimepanda sio kwa kiasi hiki. Pc1 ya Ream inauzwa 20000/= tunaumizwa sana
acha wivu wacha watu wa stationary tufaidi
 
Back
Top Bottom