Mchokozi wa mambo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 201
- 159
Katika kuendesha shule au kuandaa mitahani ama fomu mbalimbali karatasi ni nyenzo muhimu sana.
Sasa zinavyopanda kwa kasi hii kwa kisingizio cha vita ya Urusi na Ukraine tutafika kweli. Katoni ya Ream ya karatasi yenye pc 5, ilikuwa inauzwa 40 000/=
Kwa sasa ni Tsh 100,000/=.
Mimi bado naamini hata kama bidhaa zimepanda sio kwa kiasi hiki. Pc1 ya Ream inauzwa 20000/= tunaumizwa sana
Sasa zinavyopanda kwa kasi hii kwa kisingizio cha vita ya Urusi na Ukraine tutafika kweli. Katoni ya Ream ya karatasi yenye pc 5, ilikuwa inauzwa 40 000/=
Kwa sasa ni Tsh 100,000/=.
Mimi bado naamini hata kama bidhaa zimepanda sio kwa kiasi hiki. Pc1 ya Ream inauzwa 20000/= tunaumizwa sana