Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
 
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
Molotov cocktails pia…..
 
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
Namba nne pekee ndio njia yakujikomboa ,Vilio havitakua Upande Mmoja.
 
H
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
Hapana kugawana maji Kila mtu na maji yake na chakula chale tusije aminiana sana
 
Back
Top Bottom