Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

First Aid Kit
Maji yakutosha
Gloves
Mask
 
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
Namba 4 iwe ni silaha za kujihami na pia kulipiza kisasi. Kama nyumbani kuna gobore, beba siku hiyo ili ukaikomboe nchi yako.
 
Bango halina msaada. Kila mtu anajuwa watz wanataka Nini.

Fikiria Hadi Leo hakuna aliyeshitakiwa kwa mauaji Yale. Hizo si ni dharau za waziwazi?
Ni bora hili shithole country lichomwe tunyukane mpaka heshima kwa wananchi irudi .Kinachoendelea ni useng€ ULIOZIDI KIPIMO
 
Hauna akili mkuu
Unataka uwajaze kwenye mtika tika??..mimi issue ya silaha siipendelei...ila it seems like they dont have other options....lakini nawewe bastola tatu uzitoe wapi ???..hii nchi silaha zimedhibitiwa sana kwa raia...ilibidi pia wabalance na upande wa pili ili kusiwe na nguvu kubwa ya kufanya raia kufikiria kumiliki silaha either legal au illegally
 
Unataka uwajaze kwenye mtika tika??..mimi issue ya silaha siipendelei...ila it seems like they dont have other options....lakini nawewe bastola tatu uzitoe wapi ???..hii nchi silaha zimedhibitiwa sana kwa raia...ilibidi pia wabalance na upande wa pili ili kusiwe na nguvu kubwa ya kufanya raia kufikiria kumiliki silaha either legal au illegally
Haujui kitu Binti wewe unajua kukatika tu kwenye vigodoro vya mtaani kwenu
 
Molotov cocktails pia…..
Nashangaa jamaa anawaambia watoke mikono mitupu bila vilipuzi ,watoke bila zana za kupambana na magaidi wa Abdul ,yaani show ya Mo29 walivyouliwa kwa kutoka mikono mitupu wanataka warudie vile vile.

D9 nasisitiza usitoke mikono mitupu wewe Gen Z ,Dada Maria Sarungi kashasema usitoke kinyonge means kama una gobole hayaaa ,kama una mkuki hayaaa ,kama una mshale hayaaa ,hauwezi kwenda na maji na mkate kwenye kupambana na Magaidi wa Alshabab wa Abdul utegemee utashinda.

Hiyo ni Vita Muraa ,magaidi mkiwaendea Kinyonge ni hatari na safari hii washajua kwamba mnawarekodi basi watakuja na alternative ya kuficha ushahidi maradufu ,nina maanisha body camera nazo muhimu ,ukipata Ak47 kutoka congo ingia nayo field.
 
Back
Top Bottom