Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

Vifaa vya kubeba kwenye maandamano #D9

Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
Hiyo namba moja, sio salama hasa unapo zungumzia kugaina.
 
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
umesomeka
 
hahahah mikate tena?, mbona kama ni njaa tu na uvivu wa kulima ndo unaotusukuma.
 
fuateni misingi ya kisheria madogo
Misingi ya sheria kwa mtu aliyeingia madarakani kwa kura 31m?! Hiyo tarehe 912 tutafanya maandamano makubwa ya amani. Safari hii hakuna kisingizio cha kuharibu mali za watu, lakini hatuondoki hadi tupate muafaka.
 
Mkuu ww unaona nani anatakiwa kushitakiwa??,kisheria
Whoever issued the order
Whoever executed it
If not that.

Pascal Mayalla amesha sema walioko chini Yako wakivurunda.. wewe top inatakiwa uwajibike.


So.

Wakuu w vyombo
Walioko chini ya hao wakuu
Na baadhi ya magaidi walio chini ya kivuli Cha wana usalama ambao kimsingi mamlaka inawatambua wote sukuma ndani.
 
Angalizo.

Kunaweza kuwepo total lockdown kabla ya hiyo tarehe. Au kwenye tarehe husika. Kuna alternative yoyote?
 
Habari wakuu,

katika maandamano usisahau kubeba vitu hivi

1, maji na vyakula kama mikate kama ukiweza beba maji mengi kwenye hivi vimfuko vya kandoro ukawagawaia wenzako kwenye maandamano, ukifika tu usilaze damu zisambaze kwa wenzako ili kujipunguzia mizigo.

2, Dawa na kama vidonge na vifaa vyengine vya huduma ya kwanza beba kama unaweza

3, Mabango lakini hii sio lazima sana hata mdomo unatosha kuongea na kuimba kama utaki mizigo acha.

5. zingatia hiyo namba nne sana
viberiti
 
Back
Top Bottom