Jamani kweli Wanaajili au ndio mzaa
Wana ajiri,jana katoka dogo from shinyanga,kaja kuchukua gari za hiyo kampuni,wameondoka na hilux 30!
Jamani kweli Wanaajili au ndio mzaa
1.vietel tanzania haijasajiliwa kama kampun tanzania.
2.viettel tanzania haitambuliki na TRA wala haina TIN number.
3.viettel tanzania haitambuliki na tcra
4.viettel tanzania haijawah kutoa tangazo lolote lile la kazi au tenda katika gazeti lolote lile linaloaminika ndan au nje ya nchi zaid ya hivi vioja tunavyoviona vya kuapply kupitia email ya gmail
...ur very ill-minded person, yaani hizo taarifa unazozitoa humu kimsingi unaziokota humu humu, na vile ulivyo na cheap mind hufanyi hata research angalau hata ujiridhishe, unakurupuka tu kifua mbele, vdhiethel hhaipho!!!, ka kuna watu aisee, kitu kina exist wewe unang'ang'ana tu haipo, kama haipo wewe kaa kimya na uache kuwa discourage wengine,
huna hata point 1 ya kueleweka zote zina hang tu.