baada ya kuingia tanzania mnamo mwaka 2012 chini ya mgongo wa epocha and golden oceanic tanzania limited(egotel) ambayo ilikua kampun ya mzawa bwana abdalah mnende. vietel ilianza hila na ujanja.viettel global investment group wakaanzisha kampun hewa ya simu na kuiipa jina 'viettel tanzania company' narudia tena kampuni hili halijasajiliwa popote pale si BRELA si TRA si TCRA.hili si jina la biashara na wala si kampun kwan halijasajiliwa katika mamlaka yoyote hapa nchini na kisheria ni makosa kutumia neno 'company' kwa shughuli zozote ziwe za usaili au biashara bila kufanya usbrela. walianza kwa keo pale sophia house migombani street plot no 145 mikocheni baadae wakaamia gepf house floor ya pili karibu na victoria ali hassan mwinyi road ambapo wapo hadi leo.uhuni wa hawa wavietnam ni kwamba
1.wanaadertise kazi kwa jina la kampun ambalo halipo 'vietel tanzania company' badala ya kuwaambia ukwel watu kwamba kampun wanaloenda kulifanyia kaz ni epocha and golden ocean tanzania ltd'egotel'
2.kazi wanazotangaza ni tofauti na kazi ambazo wanawapa waajiriwa.kwa mfano graduate wa telecom anaaply kama teleom staff mwisho wa siku anapewa kazi ya ukariman na tour guide ambapo analazimishwa kuwa msaidiz, mbeba mizigo na mtafsir endapo hawa wavietnam watahitaj kuwasiliana na wazawa ukizingatia kwamba hawa wavietnam hawajui kiswahil wala kiingereza.trust me hawajui kabisa kiingereza.hivyo wanaitaj watafsir sasa bila aibu wanawageuza wasomi maeengineer wetu kuwa wakarim3.vietel tanzania ndio kampun pekee dunian inayotoa flat rate ya msharaha, sio mshahara kwa maana ya salary bali ni wages za Sh 400,000 (kwa wale msioelewa jaribun kugoogle ili mjue tofauti kat ya salary na wages) vietel tanzania wanawalipa wafanyakaz wao wages na sio salaries(refer kwenye attachment ya mkataba wao hapo chin) hivyo basi kabla ya makato kwa watu wa engineering, computer science, bcom,bussiness administration, b.arts, madereva, marecptionists, watu wa human resource, etc. .........wote hawa wanalipwa lak nne kamil kabla ya makato.kwa scale za tra za pay as yo earn(paye) tax ni 20% ambayo ni elf 80 katvya lak 4 kamil.ukijumlisha na mifuko ya kijamii kama nssf au ppf 10%.take home ya waajiliwa wote wa 'vietel tanzania' ni sh 280,000 kwa mwez.
4.viettel tanzania ni wapumbav, waongo naanyonyaj wa kutupwa. wamewaambia wafanyakaz wao wapya wajigharamikie naul na malaz ya kwenda mikoan bila allowance, bila transport costs, bila gharama za kujikimu kabla ya kupewa mshahara wa kwanza, wala bila per diem kwa ujira wa lak 280 kwa mwez.kwel hii ni halal?ata mwalimu wa shule ya msing ana unafuu........
5.vietel tanzania inatumia jina la egotel inapoingia mikataba na waajiriwa wake.mkataba unaandikwa agreement between 'egotel' as an employer and ...... as an employee. kwanini kwenye mikataba yao ya kazi wanatumia jina la epocha..(egotel) wakat kwenye kuapply nafas za kaz na kuajiri wanawaambia watu mnaajiriwa na kampun ya vietel tanzania?
6. mikataba ya ajira na ya kukodisha maeneo ya kujenga minara mpangishaji na mwajiri ni epocha...(egotel) neno vietel tanzania linatoka wap? ninayo mikataba yote ya kupangisha maeneo kwa ajiri ya kujenga minara na yote nitaiweka online ili watanzania wote waione.
7.kama kampun ni egotel kwanini mnadanganya watu kwamba wameajiriwa vietel tanzania? na kwa nini hawaheshimu profession za watu? utamlipaje engineer aliyesoma miaka nne chuo plus years of experience after school mshahara wa sh 280,000 kwa mwez bila allowance, bila accomodation, bila per diem ya aina yoyote tena kazi mkoan.
8.inakuaje contract of employment inakua haina job title na huwez amin kwa walio uliza waliambiwa eti job description unaambiwa utapewa ukifika kazin.hii imewakumba wale wote walioambiwa waende mikoan kuanzia majuz tu jumanne ya tareh 1.10.2014(ambao ndo intake ya kwanza) wameambiwa wakifika mikoan kwa gharama zao wenyewe ndo watapangiwa majukumu ya kazi.kama huu si uhun ni nini?
9.unawezaje kusign contract na mtu husiwe mjua na ambaye namba zake za simu na email yake inafichwa na ambaye hujawah kumwona eti anatwa.....na ndie managing director wa 'vietel tanzania'.ata copy ya contract hupew...kwel hii ni halal?.naapia hamna mwajiriwa wa vietel tanzania mwenye copy ya contract yake
10. ntarud tena. Kwa kifupi 'vietel tanzania company' haipo. Watanzania wenzagu kueni makini.hawa ni matapeli.hawana hela.ni waongo.wanastahil kuchukuliwa hatua au kufikishwa mahakaman kwa kurubun watanzania.nina meng ya kuongea.......ila inaniuma sana nikiona gratuates tena wa engineering na waajiriwa wengine wana masters,wanafanyishwa kaz za std seven leaver na mambo kama haya.......hawa jamaa ni wahun......nina document nyingine nying za kusupport haya ninayoyasema na zote nitazianika kwa uwazi hapa jf.