Viettel Wamekuita kwenye Interview?

Viettel Wamekuita kwenye Interview?

nakubaliana na Bw. Rearden ,hata mimi wameniita kuanza kazi kwa kiwango hicho cha malipo ,nikawauliza kwa nn mnapanga malipo ninyi kabla ya kujua kiasi ninachohitaji ? Jibu lao lilikuwa hiko ndio kiwango cha mtu wa IT katka kampuni ya simu.

ki ukweli sijaungana nao ingawaje wamenitafuta kama mara tatu nijoin nao kwa rate hiyo ya malipo. Na wanadai wataanza kuoperates rasmi mwakani nchi nzima na kwa mfanyakazi atakaye onesha performance nzuri kwa 100% au 95% ataongezewa tsh.60000 kwa mwezi huo.
 
Hawa washikaji walinipatia kazi...kuchek mshahara kumbe laki nne....wala hata sikutaka kuanza kunegotiate nao maana niliona wamenidharau sana...nikajiondokea zangu kimya kimya. Maana kuupandisha zaidi ya kilo saba na nusu ninayolipwa sasa afu mimi naiona ndogo sana ni kitu ambacho hakiwezekani...
 
Usiongee kitu ambacho huna uhakika nacho. Nyie mnadhani kufungua kampuni ya simu ni sawa na kufungua mgahawa. Usiwakatishe tamaa watu. Hao Viettel wapo sana tu, sasa wanapatikana GEPF tower. Website yao official ni www.viettel.com.vn/Map.html. Mnadanganywa na huyo jamaa Don Mangi aliyejifanya kuwajua Viettel kama matapeli, kumbe yeye ndio mwongo.

nahis huyu Mangi ni mfanyakaz wa moja ya mitandao ya simu iliyopo na ni dhahir hii kampuni inawanyima usingizi
 
Last edited by a moderator:
We_ni_toinyo_pumbavu_sana!!!
Hunifahamu, sikufahamu, hujui nafanya kazi gani hapa mjini, sina haja ya kufwatilia wewe unafanya nini pia.

Naomba unitokeee kama nimeandika kitu ambacho unahisi hakikuhusu, achaaa!!! Nikitaka nitaongeza hata uzi mwingine ila msimamo wangu uko pale pale...HAKUNA KAMPUNI INAITWA VIETTEL TANZANIA...NYIE NI MATAPELI MBUMBUMBU MWISHO WA RELI, HATA KAMA MNA OFISI NYIE NI WEZI WAJINGA WAPUMBAVU TUU!!! CHokoza tena, sijawahi kupigwa ban ila kwa ajili yako mshenzi first class kama wewe ntakubali tuu. Shenzi kabisa!!!😡😡😡😡 mijitu inaniharibia jumapili yangu hapa.

Mkuu Don Mangi wajinga kama wewe huwa hawapigwi ban ili waendelee kujifunza. Naamini mpaka sasa umejifunza mengi kuhusu mambo uliyokuwa huyajui hususani hili la Viettel.
 
Last edited by a moderator:
1.vietel tanzania haijasajiliwa kama kampun tanzania.
2.viettel tanzania haitambuliki na TRA wala haina TIN number.
3.viettel tanzania haitambuliki na tcra
4.viettel tanzania haijawah kutoa tangazo lolote lile la kazi au tenda katika gazeti lolote lile linaloaminika ndan au nje ya nchi zaid ya hivi vioja tunavyoviona vya kuapply kupitia email ya gmail

...ur very ill-minded person, yaani hizo taarifa unazozitoa humu kimsingi unaziokota humu humu, na vile ulivyo na cheap mind hufanyi hata research angalau hata ujiridhishe, unakurupuka tu kifua mbele, vdhiethel hhaipho!!!, ka kuna watu aisee, kitu kina exist wewe unang'ang'ana tu haipo, kama haipo wewe kaa kimya na uache kuwa discourage wengine,

huna hata point 1 ya kueleweka zote zina hang tu.
 
Habari wana JF!
Kuna hii kampuni ya Viettel ilitanganaza nafasi za kazi nyingi tu! Mimi nilijaza nafasi hizo! Leo nimepokea email kutoka kwao "viettelrecruitment" ikinitaarifu kuwa wata-conduct interview tar 6/10 hivyo nithibitishe kama nitahudhuria! Swali langu ni, je kuna mtu mwingine yeyote humu ndani amewahi kuitwa? Na kama yupo ni test gani walizokupa kwenye hiyo interview?
Ahsante

Nenda,mi niliitwa nikafanyiwa online test,ukipita hiyo utafanyiwa oral test,basi,hawakuombi hela wewe nenda.
 
Haya_kaajiriweni_huko_mnakotaka_na_kampuni_za_wawekezaji_maskini_eti__kampuni_inatoka_vietnam_inakuja_kuwekeza_tanzania_shenzi_kabisa
 
Mbona MIC Tz wanajiita TIGO? Nao ni matapeli??? Ukiingia mkataba nao wanaandika MIC Tz mbona hawaandiki TIGO Tz? Hii sio fact.
Suala la mishahara kweli ni shida, one of my classmates alipangiwa kazi Kigoma 400k akagoma. Kwa hiyo kila mtu na maslahi yake. Mu huko mkoan bora unilipe lak3 hapa hapa mjini.
 
baada ya kuingia tanzania mnamo mwaka 2012 chini ya mgongo wa epocha and golden oceanic tanzania limited(egotel) ambayo ilikua kampun ya mzawa bwana abdalah mnende. vietel ilianza hila na ujanja.viettel global investment group wakaanzisha kampun hewa ya simu na kuiipa jina 'viettel tanzania company' narudia tena kampuni hili halijasajiliwa popote pale si BRELA si TRA si TCRA.hili si jina la biashara na wala si kampun kwan halijasajiliwa katika mamlaka yoyote hapa nchini na kisheria ni makosa kutumia neno 'company' kwa shughuli zozote ziwe za usaili au biashara bila kufanya usbrela. walianza kwa keo pale sophia house migombani street plot no 145 mikocheni baadae wakaamia gepf house floor ya pili karibu na victoria ali hassan mwinyi road ambapo wapo hadi leo.uhuni wa hawa wavietnam ni kwamba
1.wanaadertise kazi kwa jina la kampun ambalo halipo 'vietel tanzania company' badala ya kuwaambia ukwel watu kwamba kampun wanaloenda kulifanyia kaz ni epocha and golden ocean tanzania ltd'egotel'
2.kazi wanazotangaza ni tofauti na kazi ambazo wanawapa waajiriwa.kwa mfano graduate wa telecom anaaply kama teleom staff mwisho wa siku anapewa kazi ya ukariman na tour guide ambapo analazimishwa kuwa msaidiz, mbeba mizigo na mtafsir endapo hawa wavietnam watahitaj kuwasiliana na wazawa ukizingatia kwamba hawa wavietnam hawajui kiswahil wala kiingereza.trust me hawajui kabisa kiingereza.hivyo wanaitaj watafsir sasa bila aibu wanawageuza wasomi maeengineer wetu kuwa wakarim3.vietel tanzania ndio kampun pekee dunian inayotoa flat rate ya msharaha, sio mshahara kwa maana ya salary bali ni wages za Sh 400,000 (kwa wale msioelewa jaribun kugoogle ili mjue tofauti kat ya salary na wages) vietel tanzania wanawalipa wafanyakaz wao wages na sio salaries(refer kwenye attachment ya mkataba wao hapo chin) hivyo basi kabla ya makato kwa watu wa engineering, computer science, bcom,bussiness administration, b.arts, madereva, marecptionists, watu wa human resource, etc. .........wote hawa wanalipwa lak nne kamil kabla ya makato.kwa scale za tra za pay as yo earn(paye) tax ni 20% ambayo ni elf 80 katvya lak 4 kamil.ukijumlisha na mifuko ya kijamii kama nssf au ppf 10%.take home ya waajiliwa wote wa 'vietel tanzania' ni sh 280,000 kwa mwez.
4.viettel tanzania ni wapumbav, waongo naanyonyaj wa kutupwa. wamewaambia wafanyakaz wao wapya wajigharamikie naul na malaz ya kwenda mikoan bila allowance, bila transport costs, bila gharama za kujikimu kabla ya kupewa mshahara wa kwanza, wala bila per diem kwa ujira wa lak 280 kwa mwez.kwel hii ni halal?ata mwalimu wa shule ya msing ana unafuu........
5.vietel tanzania inatumia jina la egotel inapoingia mikataba na waajiriwa wake.mkataba unaandikwa agreement between 'egotel' as an employer and ...... as an employee. kwanini kwenye mikataba yao ya kazi wanatumia jina la epocha..(egotel) wakat kwenye kuapply nafas za kaz na kuajiri wanawaambia watu mnaajiriwa na kampun ya vietel tanzania?
6. mikataba ya ajira na ya kukodisha maeneo ya kujenga minara mpangishaji na mwajiri ni epocha...(egotel) neno vietel tanzania linatoka wap? ninayo mikataba yote ya kupangisha maeneo kwa ajiri ya kujenga minara na yote nitaiweka online ili watanzania wote waione.
7.kama kampun ni egotel kwanini mnadanganya watu kwamba wameajiriwa vietel tanzania? na kwa nini hawaheshimu profession za watu? utamlipaje engineer aliyesoma miaka nne chuo plus years of experience after school mshahara wa sh 280,000 kwa mwez bila allowance, bila accomodation, bila per diem ya aina yoyote tena kazi mkoan.
8.inakuaje contract of employment inakua haina job title na huwez amin kwa walio uliza waliambiwa eti job description unaambiwa utapewa ukifika kazin.hii imewakumba wale wote walioambiwa waende mikoan kuanzia majuz tu jumanne ya tareh 1.10.2014(ambao ndo intake ya kwanza) wameambiwa wakifika mikoan kwa gharama zao wenyewe ndo watapangiwa majukumu ya kazi.kama huu si uhun ni nini?
9.unawezaje kusign contract na mtu husiwe mjua na ambaye namba zake za simu na email yake inafichwa na ambaye hujawah kumwona eti anatwa.....na ndie managing director wa 'vietel tanzania'.ata copy ya contract hupew...kwel hii ni halal?.naapia hamna mwajiriwa wa vietel tanzania mwenye copy ya contract yake
10. ntarud tena. Kwa kifupi 'vietel tanzania company' haipo. Watanzania wenzagu kueni makini.hawa ni matapeli.hawana hela.ni waongo.wanastahil kuchukuliwa hatua au kufikishwa mahakaman kwa kurubun watanzania.nina meng ya kuongea.......ila inaniuma sana nikiona gratuates tena wa engineering na waajiriwa wengine wana masters,wanafanyishwa kaz za std seven leaver na mambo kama haya.......hawa jamaa ni wahun......nina document nyingine nying za kusupport haya ninayoyasema na zote nitazianika kwa uwazi hapa jf.

Best usipotoshe watu Vietel ni kampuni halali ipo victoria gepf 2nd floor
 
achana nao.ni matapel tu hao.hakuna kampun inayoitwa viettel iliyosajiliwa kuoperate tanzania.endelea na shughul zako nyingine wala usiende kwenye hzo interview zao...kwan utakua unajipotezea muda wako bure

Office yao ipo GEPF 2nd Floor, maeneo ya Victoria. Imesajiliwa BRELA, ni member wa NSSF etc etc.
Now wanaanza ujenzi wa miundombinu yao km towers etc etc muda c mrefu.
Kila mkoa na wilaya wana office.
Mkuu je hiyo ni office ya kitapeli...?

Fanya utafiti kabla ya kuja hapa FJs, usiliangushe jamvi letu zuri la habari...
 
Hivi jamani tumuamini nani sasa?

Au tuanzie wapi kujua ukweli! ?
Agrrrrr
 
Back
Top Bottom