Katika vitu ambayo sivipendi basi ni kuishi na mifugo ndani ya nyumbaYaah, ilibidi aache kale ka uwanja ka basketball tu. Pembeni aweke mibanda ya kuku. Ila ndio hivyo kila mtu na mawazo yake. All in all kajitahidi sana. Waweke mambo yao Kisheria vizuri tu. Sio baadae watuletee mambo ya Joyce kiria na mme wake KAMANDA KITONGA.
Dalili ya umaskiniKatika vitu ambayo sivipendi basi ni kuishi na mifugo ndani ya nyumba
Ngoja bavicha wajeYaah, ilibidi aache kale ka uwanja ka basketball tu. Pembeni aweke mibanda ya kuku. Ila ndio hivyo kila mtu na mawazo yake. All in all kajitahidi sana. Waweke mambo yao Kisheria vizuri tu. Sio baadae watuletee mambo ya Joyce kiria na mme wake KAMANDA KITONGA.
Ndio maana nikasema kila mtu na mapenzi yake. Alafu kufuga ndani ya nyumba ni tabia. Ww Jaribu siku kumuoa msichana aliyekulia mitaa ya uswahilini uone kama hata utaweza kufuga Ktk maisha yako.Katika vitu ambayo sivipendi basi ni kuishi na mifugo ndani ya nyumba
Nyumba nzuri ila mbwembwe za maswiming pool ya nini.? Piga banda la kuku walau wa kula nyumbani na wa kujifunzia ujasiriamali watoto. Au unapiga bustani ya maua/mbogamboga.
Amejitahidi Zamaradi na mume wake
respect mangi.....8.6MB zote za nn, nyumba tu???....
hahaaaaNi ndogo ndio sasa nisemeje kama nimeona ndogo
Haya basi kubwaaaa
Hahahaaa.. Umeni judge kwa comment yangu. Niliyotoa ni maoni yangu na ni kama priorities zangu nikiwa kwangu na nilifundishwa toka niko young. Sasa wewe ukaamua kunikosoa ukavuka na mipaka ukaamua kunijudge..!! Its ok na wewe umetoa maoni yako.Mkuu siyo kila mtu anawaza kufuga au kulima bustani ya mboga au kufanya biashara. Unajuaje kama hana hiyo bustani sehemu nyingine?? Unajua wewe mawazo yako yana-reflect uwezo wako wa kiuchumi. Ndo maana unaona swimming pool ni mbembwe. Wallah ungekuwa na uwezo hata mawazo yako kwenye hili bandiko yangekuwa tofauti. Hauna tofauti na yule anayeendesha Vitz akiona mwenzake anasukuma BMW au VW anajifariji kwamba wote wana magari! Deep down reality anaijua. Ukitaka kuishi vizuri....daima kubali hali yako. Na wale waliokuzidi kipato wapongeze kwa mafanikio yao.
Haya maisha hayataki hasira Mkuu. Pambana na hali yako.
Wasanii bwana kila kitu wao Acting hata sehemu hisiyohitaji Acting,kuna kosa ukisema hauna nyumba? Prince bado mdogo asishindane na kina mond kuna Mambo mengi behind fedha za watu.Barakah da prince alifanya nini mkuu tujuze.??
Aliitangaza nyumba ya mama mkwe wake kwamba yake badae akaja kuumbuliwa na shemeji yake
Mke na Mume, hiyo nyumba ni yao wote regardless nani aliyetoa Mpunga.Inamaana bwana ake mzee Mishe in town siyo wamejenga wote wape hongera wote Mr & Mrs Mishe in town
Hahahaaa.. Umeni judge kwa comment yangu. Niliyotoa ni maoni yangu na ni kama priorities zangu nikiwa kwangu na nilifundishwa toka niko young. Sasa wewe ukaamua kunikosoa ukavuka na mipaka ukaamua kunijudge..!! Its ok na wewe umetoa maoni yako.
Nani kakuambia hiyo nyumba ni ya zamaradi?Yule mtangazaji wa clouds fm aliekua na mke wa boss wa clouds ameonysha mjengo wake ambao haujakamilika akiuita small whitehouse, ikiwa half court ya basketball na swimming pool likiwa linajengwa. Big up kwake
Huu kweli ni ushithole8.6MB zote za nn, nyumba tu???....