VIDEO: Zamaradi aonyesha White house yake na mume wake

Kwa ninavyojua wabongo sidhani kama huyo manzi ametumia pesa yake binafsi kujenga hio nyumba,,,well sijui anapiga deal gani mjini ila guts zinanisukuma kuamini huo mjengo ni wa kidume tu.

Host wa kipindi kujenga nyumba ya multi-millions kwa mshahara wa laki 8 mpaka million haingii akilini unless otherwise awe na biashara za kuingiza ma container ya mizigo town.

No disrespect mjengo ni mkali, bongo kama ulaya tu sikuhizi muhimu uwe na midako tu kila kitu kinawezekana.
 
kuna watu huku wanacomments nikizisoma naziona kama za mhaya wa clouds... jamani....ila issue ya justification ya mpunga na matumizi yake kidogo yananiumiza akili ...just mission town na tv Host? au mi ndo cjui kutafuta helaaaaa..
 
Samahani bro. Sijakujaji na wala hilo halikuwa lengo langu. Nilitaka tuu kuonyesha kwamba kuweka swimming pool siyo mbwembwe. Again kila mtu ana priorities zake kama ulivyosema.

Apologies kama nimekukwaza Kiongozi. Pamoja sana!
Waungwana utawajua tu
 
Samahani bro. Sijakujaji na wala hilo halikuwa lengo langu. Nilitaka tuu kuonyesha kwamba kuweka swimming pool siyo mbwembwe. Again kila mtu ana priorities zake kama ulivyosema.

Apologies kama nimekukwaza Kiongozi. Pamoja sana!
Pamoja mkuu.
 
Ukweli mtupu.
Huwa anajifanya kutokupenda kiki Ila anapenda sana.!
Anajifanya hapendi showoff Ila kiukweli pale show off ndio mahali pake!
Huyu dada ni kama yupo confused hivi....

Anajipambanua kama mtu maarufu asiependa mambo ya sifa na kujionyesha,at the same token kapiga picha nyumba yake na kujionesha mitandaoni....

Hua dhamira ni kutaka watu wakutambue wewe ni nani na upate hongera za hapa na pale.Sababu eti naonesha ili ku-inspire others ni sababu moja ya uongo na kinafiki sana,the bottomline ni kuwataarifu wananchi kua umepata na umepiga hatua ya maisha ili wakusifie.Angeishi kwenye nyumba yake bila wananchi kutambua kua ni yake anaona itakua ni upungufu sana.

Ila sina shida na waonesha mali na maendeleo yao,ila sababu wanayoitumia ya "ku-inspire" wengine ni ya uongo,its time people come clean!
 
Back
Top Bottom