kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
HahhaHuu kweli ni ushithole
Mimi mb zangu 350 nianze kuzitumia kwa video za youtube za udaku
HahhaHuu kweli ni ushithole
Mimi mb zangu 350 nianze kuzitumia kwa video za youtube za udaku
Anaweka compound wall utafikiri garage, ktk design ya residential houses has a mazingira ya nchi isio Na vita kama TZA muhim kuweka from entry kuwa visible!!!!duuh...watz bwana!
Waungwana utawajua tuSamahani bro. Sijakujaji na wala hilo halikuwa lengo langu. Nilitaka tuu kuonyesha kwamba kuweka swimming pool siyo mbwembwe. Again kila mtu ana priorities zake kama ulivyosema.
Apologies kama nimekukwaza Kiongozi. Pamoja sana!
Pamoja mkuu.Samahani bro. Sijakujaji na wala hilo halikuwa lengo langu. Nilitaka tuu kuonyesha kwamba kuweka swimming pool siyo mbwembwe. Again kila mtu ana priorities zake kama ulivyosema.
Apologies kama nimekukwaza Kiongozi. Pamoja sana!
ukilinganisha na ya nani?Mbona ndogo sana ?
Huyu dada ni kama yupo confused hivi....
Anajipambanua kama mtu maarufu asiependa mambo ya sifa na kujionyesha,at the same token kapiga picha nyumba yake na kujionesha mitandaoni....
Hua dhamira ni kutaka watu wakutambue wewe ni nani na upate hongera za hapa na pale.Sababu eti naonesha ili ku-inspire others ni sababu moja ya uongo na kinafiki sana,the bottomline ni kuwataarifu wananchi kua umepata na umepiga hatua ya maisha ili wakusifie.Angeishi kwenye nyumba yake bila wananchi kutambua kua ni yake anaona itakua ni upungufu sana.
Ila sina shida na waonesha mali na maendeleo yao,ila sababu wanayoitumia ya "ku-inspire" wengine ni ya uongo,its time people come clean!