wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Kashamwaga protein nzito hapo
Maza kakunja elfu 10Ukitazama vizuri utaona kamlipa hela [emoji28]
Usiombee yakukute mimi ilishawahi nitokoea halafu ilikuwa haina jinsi wala sehemu ya kujigeuza uukwepe mzigo, nilikuwa sina lengo baya lakini na nikajisemea nisiconcetrate na kinachoendelea lakini wapi nyanya zimeshakuwa connected na mineso ya gari ikawa hatari kabisa hadi kuna mwamba pembeni akawa anaona gere.Sema huwa kuna ka-feeling flani hivi kenyewe sana
Hii ishawahi nitokea sana na mwanamke anakuletea mzigo wote uishi nao
😂Sema huwa kuna ka-feeling flani hivi kenyewe sana
Hii ishawahi nitokea sana na mwanamke anakuletea mzigo wote uishi nao
Alafu dem alijua tu jamaa kadinda Akaona na ye ajibinue dah 🤣🤣Ukute hapo uyo mjuba kashapitishwa kituo na hajaliii wala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea Raha Za DadaDala Wewe[emoji1751]Nibalaaaaa[emoji1751][emoji38][emoji38][emoji38].
Hao wanawake huwa wanafanya hivyo makusudi Kisha wanakupa kesi hapohapo ..wanakuchomoa 10,20 au vyovyote...nishaona hayo Morocco, na Namanga...ni mitego hiyo watu wanataka Hela ya marejesho vikoba.
Dah..?. Sema Nini..?. Wanaume sometime tunajidhalilisha sana, Hawa Dada Zetu Wanatupaga Majalibu Mengi Sana Dah..?.[emoji134]Aibu naona Mimi[emoji1751][emoji1751]
Tizama video hiiView attachment 2286911
😊😊😊😊😊 Mbinguni mbali Sana wakuuUkute hapo uyo mjuba kashapitishwa kituo na hajaliii wala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea Raha Za DadaDala Wewe[emoji1751]Nibalaaaaa[emoji1751][emoji38][emoji38][emoji38].
Hao wanawake huwa wanafanya hivyo makusudi Kisha wanakupa kesi hapohapo ..wanakuchomoa 10,20 au vyovyote...nishaona hayo Morocco, na Namanga...ni mitego hiyo watu wanataka Hela ya marejesho vikoba.
Dah..?. Sema Nini..?. Wanaume sometime tunajidhalilisha sana, Hawa Dada Zetu Wanatupaga Majalibu Mengi Sana Dah..?.[emoji134]Aibu naona Mimi[emoji1751][emoji1751]
Tizama video hiiView attachment 2286911
Ndiyo unaambiwa watu wanasaka marejesho ya vikoba 😂Kwahiyo, hebu niulize kwanza, aliinama vile ili iweje?
Mkuu upo serious Kuna wanaume wanabambiwa ? Kiaje yaniKuna choir ya kikatoliki inaimba dunia hupendi watoto..
Kizazi cha watu wasio na maadili kabisa cha kushangaza michezo hii kwa wabambiaji wanawafanyia wanafunzi mpaka wanaume, upuuzi mtupu. .
Vp ndugu yangu nakuona huku je una uhakika wa kula😂😂Sema huwa kuna ka-feeling flani hivi kenyewe sana
Hii ishawahi nitokea sana na mwanamke anakuletea mzigo wote uishi nao
Uhakika nitautoa wapi Mzee wanguVp ndugu yangu nakuona huku je una uhakika wa kula😂😂
Sasa unatapa wapi nguvu ya kuingia jf na kusoma matap tap kama haya😀😀Uhakika nitautoa wapi Mzee wangu
Maisha yangu ni ughaighai mtupu
Huku si ndio sehemu ya kutolea stress Mzee wanguSasa unatapa wapi nguvu ya kuingia jf na kusoma matap tap kama haya😀😀
Sawa mkuuHuku si ndio sehemu ya kutolea stress Mzee wangu