Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,285
Tukubali ukweli huyo dungadunga katisha, katega tu kitu jimama anahangaika kukitafuta mwenyewe. Huyo akivamia ndoa ya mtu haiwezi kubaki salama. Na huyo kama akiombwa mzigo anatoa bila kujali status ya huyo dungadungaWatu na starehe zao