Video ya Wanaoitwa DungaDunga kwenye daladala

Video ya Wanaoitwa DungaDunga kwenye daladala

Hawa watakuwa safari moja ila wanafahamiana kama kaka na dada ila hapo limetokea zali kila mtu kajitoa ufahamu, demu tu wa kawaida umkute humo aonyeshe ushirikiano pasipo chochote ni ngumu. Ni kama zile "one night stand" zinazotokeaga kiajali ajali kwa watu ambao wamezoeana kiana
 
Duh,hz gari hz

Niliwah kaa closer na binti fulani,wakati na ingia kila mtu alikuwa bati bati hakuna kuongeleshana lakin kutokana na miili yetu kugusana baadae binti alianza kuniongelesha na alivyoshuka aliniaga kama vile ni watu tuliokuwa tunafahamiana kitambo
Mlikuwa mnaviziana 🤣🤣
 
Ukute hapo uyo mjuba kashapitishwa kituo na hajaliii wala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea Raha Za DadaDala Wewe[emoji1751]Nibalaaaaa[emoji1751][emoji38][emoji38][emoji38].

Hao wanawake huwa wanafanya hivyo makusudi Kisha wanakupa kesi hapohapo ..wanakuchomoa 10,20 au vyovyote...nishaona hayo Morocco, na Namanga...ni mitego hiyo watu wanataka Hela ya marejesho vikoba.

Dah..?. Sema Nini..?. Wanaume sometime tunajidhalilisha sana, Hawa Dada Zetu Wanatupaga Majalibu Mengi Sana Dah..?.[emoji134]Aibu naona Mimi[emoji1751][emoji1751]

Tizama video hiiView attachment 2286911
du!!!....pale buguruni si kuna mpaka madada poa wa jero aisee?
 
Back
Top Bottom