Mbeya wanaendelea kukusanyika wananchi watatulia madai yao yakisikilizwa Ila vitisho haviwezi kuwatuliza.
Wamebeba mbango yanayosomeka:
- Uchaguzi urudiwe
- Tume huru
- Utekaji NO
- Samia must go
- Free Tz
Huyu kwenye picha nani?
Hawa unaweza kukubali wanahoja zao wasikilizwe na wachiwe wajifanyie wanayotaka kutoa hisia zao ila sio wale Majambazi wa October 29Mbeya wanaendelea kukusanyika wananchi watatulia madai yao yakisikilizwa Ila vitisho haviwezi kuwatuliza.
Wamebeba mbango yanayosomeka:
- Uchaguzi urudiwe
- Tume huru
- Utekaji NO
- Samia must go
- Free Tz
Mnapata raha gani kuwepo madarakani kwa nguvu za jeshi ama mnaenda kuongoza wanajeshi? Na wananchi ndo washawafikishia ujumbe hivyoSaa 14:30 naona mmeshafeli mkajipange siku nyingine
hivi marekani Donald anajisikia raha gani kuzungukwa na PSG, MUDA WOTE ? hawampendi wengi lakini mbona hamwezi kumtoa kwa nguvu kwa nini Africa tu ndo kila asiyekubaliana na wewe ajifanye anaweza kukutoa?Mnapata raha gani kuwepo madarakani kwa nguvu za jeshi ama mnaenda kuongoza wanajeshi? Na wananchi ndo washawafikishia ujumbe hivyo
Marekani wanaingia kihalali tatizo nyie mnaingia madarakani kwa wizi.hivi marekani Donald anajisikia raha gani kuzungukwa na PSG, MUDA WOTE ? hawampendi wengi lakini mbona hamwezi kumtoa kwa nguvu kwa nini Africa tu ndo kila asiyekubaliana na wewe ajifanye anaweza kukutoa?
Dah, Ford Foundation wametapeliwa 🤣Mbeya wanaendelea kukusanyika wananchi watatulia madai yao yakisikilizwa Ila vitisho haviwezi kuwatuliza.
Wamebeba mbango yanayosomeka:
- Uchaguzi urudiwe
- Tume huru
- Utekaji NO
- Samia must go
- Free Tz
Unawezaje ukasema hawampendi wakati anakuweka America atmost? Huyu wa kwenu anaweka familia atmost alafu ndo uje ufananishe? Yule ni nationalist na huyu ni ................. Tafuta jibu jaza mwenyewe usije kusema Prof ananifundisha kila kituhivi marekani Donald anajisikia raha gani kuzungukwa na PSG, MUDA WOTE ? hawampendi wengi lakini mbona hamwezi kumtoa kwa nguvu kwa nini Africa tu ndo kila asiyekubaliana na wewe ajifanye anaweza kukutoa?
kihalali donald 2020 umesahau alilamika kaibiwa kura? umesahau clinton alivyolalamika 2016 shida ni sisi waafrica, Brazil umeona wanavyolalamika ?Marekani wanaingia kihalali tatizo nyie mnaingia madarakani kwa wizi.
Naona bangi ya leo imewatuma kuwaombea viongozi badala ya kuwalaani.Mbeya wanaendelea kukusanyika wananchi watatulia madai yao yakisikilizwa Ila vitisho haviwezi kuwatuliza.
Wamebeba mbango yanayosomeka:
- Uchaguzi urudiwe
- Tume huru
- Utekaji NO
- Samia must go
- Free Tz
Trump binti yake ni nani? mkwe wake ni ninani? Steve witkoff ni shareholder mwenzake na watoto wao wameoleana, Enzi ya Bush Junior aliweka classmate wake na family member, Mimi huku sitetei kabisa kuweka family members kabisaaa, ningekuwa Samia ningewapa michongo ya bishara kubwa kubwa wawe na hela nyingi lakini si kuwepo serikalini, tena biashara sio za local ningewarahisishia familia kufanya kubwa kubwa za nje mfano ku export korosho, kushinda tenda za WFP huku nanunua NFRA kwa mkopo bila asharti magumu , ku leta wawekezaji wa migodi mikubwaUnawezaje ukasema hawampendi wakati anakuweka America atmost? Huyu wa kwenu anaweka familia atmost alafu ndo uje ufananishe? Yule ni nationalist na huyu ni ................. Tafuta jibu jaza mwenyewe usije kusema Prof ananifundisha kila kitu