Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,429
Kwani huyo JPM ndio anapinga ufisadi ?Duh!
Hili ni balaa wanaweza kuzidi hata zile tunazopiga kwenye ruzuku.
Waombe Mungu JPM asijue.
Hiki ndio chanzo cha mizengwe anayowekewa Isaya MwitaCCM ya Magufuli inayoacha alama ya WIZI wa KODI ZETU
matukio kama yale yanatengenezwa ili kuwaingiza kingi viongozi waliomteua
2015 Lowasa si alituambia UFISADI sio issue?Kwani huyo JPM ndio anapinga ufisadi ?
Kumbe bado wanafanya uchunguzi! .Si bora wengeripoti hili suala takukuru ili nao waanze kazi mapema.Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !
Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .
Takukuru ingekuwa na nguvu Kangi Lugola asingekuwa WaziriKumbe bado wanafanya uchunguzi! .Si bora wengeripoti hili suala takukuru ili nao waanze kazi mapema.
Lakini kwa nini wamesubiri mpaka meya alipofurumushwa!
Takukuru ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani?Takukuru ingekuwa na nguvu Kangi Lugola asingekuwa Waziri
kwaa akili zako unadhani MEKO hajuiDuh!
Hili ni balaa wanaweza kuzidi hata zile tunazopiga kwenye ruzuku.
Waombe Mungu JPM asijue.
πππ hivi kwanini wanaccm wana ubongo mgumu sana ?Takukuru ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani?
Nani Mwana CCM? We ungejibu waziri wa mambo ya ndani angeingilia vipi uchunguzi wa takukuru? Idara amabayo haipo chini yake?πππ hivi kwanini wanaccm wana ubongo mgumu sana ?
Huyu mkurugenzi ni wa kukamatwa tuu ! Yeye na anayeshirikiana nae hata kama ni RC Makonda kwa kweli ni wahujumu. Maana naona Mh. Kubenea mpaka mishipa ya kichwa inamtoka asee !Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !
Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .
Pole sana mh Rais Magufuli kila unapojitahidi kuteua watumishi hujikuta umeteua wezi na mafisadi. Unabahati mabya sana kuwa rais kupitia ccm.Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !
Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .