Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,609
CHADEMA wasipokuwa makini wataishiwa kususiwa wao na Watanzania.
Tanzania haijafikia kabisa viwango vya kususiwa na jumuia ya kimataifa.
Sasa huyu so called 'msomi' ndo anataka nchi isusiwe?
Kwa minajili gani hasa?
Mtu yupo Tanzania na ana uhuru wa kumzungumzia hivyo rais aliyepo madarakani halafu anataka nchi isusiwe?
Hata hiyo jumuia ya kimataifa ikimsikia itamcheka kwa dharau nyingi sana.
Huyu jamaa mdomo wake hauna breki!
He is a demagogue on steroids!
Tanzania haijafikia kabisa viwango vya kususiwa na jumuia ya kimataifa.
Sasa huyu so called 'msomi' ndo anataka nchi isusiwe?
Kwa minajili gani hasa?
Mtu yupo Tanzania na ana uhuru wa kumzungumzia hivyo rais aliyepo madarakani halafu anataka nchi isusiwe?
Hata hiyo jumuia ya kimataifa ikimsikia itamcheka kwa dharau nyingi sana.
Huyu jamaa mdomo wake hauna breki!
He is a demagogue on steroids!