Yaelekea hata vazi la Traffic hulijui.Mkuu huyo si muigizaji ni trafiki.
Mwache acheze, NCHI YA TOZO HIItabia ya hawa trafiki kufanya mambo ya ajabu ajabu barabarani yanadhalilisha jeshi la polisi. Hii inaendana kinyume na miiko ya kazi kabisa. Wengine mtapinga ila hii tabia imekuwa too much sasa kwa trafiki. Itapelekea hadi nidhamu kushuka.
Kwenye hii video nimeshangazwa sana na kusikitika.
View attachment 1901864