Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,016
- 156,401
... I was delighted to hear that Karume was assassinated.... .
.... If my people want me, I'll certainly go...
[video=youtube_share;7kTuy1cY5GA]http://youtu.be/7kTuy1cY5GA[/video]
Mzee una mambo wewe..Heshima yako bwana.HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
... I was delighted to hear that Karume was assassinated.... .
.... If my people want me, I'll certainly go...
[video=youtube_share;7kTuy1cY5GA]http://youtu.be/7kTuy1cY5GA[/video]
Nchi ipi hiyo??? Najua utasema Zanzibar.......WAZANZIBARI KWA VYOVYOTE HAWARUDI NYUMA HADI TUPATE NCHI YETU
Nchi ipi hiyo??? Najua utasema Zanzibar...
Zanzibar ipi?? I mean Unguja ama Pemba?
Kwa sababu mpaka hapo kuna mgawanyiko wa ndani. Yaani Uunguja na Upemba...
HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
... I was delighted to hear that Karume was assassinated.... .
.... If my people want me, I'll certainly go...
[video=youtube_share;7kTuy1cY5GA]http://youtu.be/7kTuy1cY5GA[/video]
Hakuna kama Mwl nyerere' na hatakuja mtu kama mwl.nyerere Tanzania hii...ila inaweza tokea mtu anayefanana kwa suraMMKJ unajitahidi sana kumsafisha "Mwenye heri", ila katika hili sidhani kama utafanikiwa!
MMJ kumbe ww mpumbavu sana na una roho mbaya hasa kwa wazanzibari.
Hakuna kama Mwl nyerere' na hatakuja mtu kama mwl.nyerere Tanzania hii...ila inaweza tokea mtu anayefanana kwa sura
lakini si kufanana kwa Hekima,busara na uongozi! Nasema tena haitakuja kutokea huyo mtu....utaki unaacha
Nyerere ndiye alikuwa na mkono baada ya Karume kushtuka juu ya muungano na kutaka kuuvunjilia mbali,kwani hata hizo articles of uniun hawakuziandika badala yake walisaini tu.Articles hizo 11 ziliandaliwa na wamarekani na ndio wanaolinda muungano. Yani iko hivi ni bora Wazanzibar wote wafe na wengine waishie Guantanamo lakini muungano haufi kwani unalindwa na Marekani na ni amri ya Vatican.
Kwanini isiwe MR X,au ndo mnatafuta pakukimbilia na kupotosha ukweli halisi.. Itabaki kuwa ni MR X Aliemuua Karume. Hata hiyo video haionyeshi kabisa namna Sultan alivohusika. na huyo jamaa alikuwa hayupo na huko alipo alikuwa hana nguvu zozote.Ajabu mtu kama wewe kutuletea ajenda kama hii.. lkn sishangai,naamini watanganyika hasa wa mrengo wa kushoto mna ajenda ya siri dhidi ya znz. kwani ajabu juzi ati mnasema mfadhili wa muamsho amerudi kutoka oman lkn mumeshindwa kutoa taarifa kuwa huyo jamaa AZANI amevunjiwa nyumba yake na polisi wakati hayupo.HIvi inawezekana kulikuwa na mkono wa Sultani katika mauaji ya Karume?
MMJ kumbe ww mpumbavu sana na una roho mbaya hasa kwa wazanzibari.
wazanzibari wameamka na hizi choko choko za kuwagawa hutofanikiwa si ww wala wenzio uwe ukweli uuje.
wazanzibari toke asili hadi leo ni mchanganyiko wa watu na makabila mbali mbali. ikiwemo damu ya kiarabu na kimanaga ambayo unataka kuwaaaminisha watu kuwa hawana haki ya kupigania nchi yao
rais Karume alieondoka mama yake mwarabu, salim Ahmed baba yake mwarabu, Mansour Yussuf Himid aliekuwa mweka hazina wa CCM (kama sikosei zanzibar) ni mwarabu damu ya kiarabu ina haki zanzibar na imo kwenye vyama vyote vya siasa vyenye maslahi zanzibar iwe CCM au CUF hata zamani iwe Hizbu UMMA PARTY au ASP.
fitna na choko choko zako hazibadili ukweli kuwa wazanzibar wanachotaka ni nchi yao, na wanahisi wanaonewa. sema lugha tu zinatofautiana kutokana na Chama au sehemu aliokuwepo. ndani ya CCM si mara moja wala mbili wazanzibar wanatoa kauli ya kusema kuhusu muungano kutokuwa sawa akiwemo Raza ( ambae ni mhindi), Shamhuna ambae ni mshirazi, mwakilishi Hamza aliekuwa waziri wa nchi, Nassor Moyo mwenye asili ya tanganyika ( lakini ni mzanzibari) aliekuwa waziri wa kwanza wa sheria ya Jamhuri ya muungano. Aboud Jumbe ( aliekuwa rais wa zanzibar na muasisis wa CCM). na wengi wengine wamesema si mara moja juu ya muungano. Pia kwenye CUF na wao si mara moja wala mbili wameshapaza sauti zao kuhusu muungano huu.
kwa hio hatudanganyiki wala hatugawiki wala hatuondoshwi kwenye pointi muhimu ya kudai haki yetu ambayo mnapambana kwa kila njia kuibana na mnatumia kila hila kutaka kutugawa
WAZANZIBARI KWA VYOVYOTE HAWARUDI NYUMA HADI TUPATE NCHI YETU
... I was delighted to hear that Karume was assassinated.... .
.... If my people want me, I'll certainly go...
[video=youtube_share;7kTuy1cY5G A]http://youtu.be/7kTuy1cY5GA[/video]