Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Naona leo Slaa kaweka live mambo yote yaliyokuwa nyuma ya pazia. Kaongelea unafiki wa Sitta kaatika uchaguzi mkuu 2010, kuhusika na CCJ, Unaibu Waziri, kutaka kiti cha Uspika 2010, nk.
Sitta ni hatari kwa maendeleo yetu. HAFAI KUWA KIONGOZI WA CHEO CHOCHOTE!
Sitta ni hatari kwa maendeleo yetu. HAFAI KUWA KIONGOZI WA CHEO CHOCHOTE!
Last edited by a moderator: