erique
JF-Expert Member
- Apr 23, 2010
- 583
- 571
Mmmh, nimeisikiliza hii video hadi Mwisho. Naweza kusema Lipumba amepoteza uhalali wa kuwa mwenyekiti wa CUF. Maana ameonyesha dhahiri kwamba yeye ni kiongozi wa waislam na si watanzania. Kwa msingi huo CUF ni chama cha waislamu.
Mimi si mpenzi wala mfuasi wa CUF lakini nilikuwa na-muheshimu sana Prof Lipumba kutokana na Taaluma yake, lakini kwa haya alioyaongea nimeshamshusha daraja.Hata elimu yake haijaonyesha kumsaidia. Nachoshangaa inakuwaje majukwaa ya IBADA yanageuzwa kuwa sehemu ya SIASA. Halafu huyu ndio anataka apewe NCHI!!!Uharo Mtupu!@%$%%