Video: Paul Makonda kalewa madaraka

Video: Paul Makonda kalewa madaraka

Sasa mtu kapata 0 form four halafu akanunua cheti cha mtu akakitumia Kwa kubadili jina lazima awe kama alivyo kibashitebashite
 
Daaaa uchambuzi wa D.B wa kolu mu jey una shangaza sana, yaani mayor yeye Jeshi lake ni wagambo (militia) ila yeye ka RC wale jamaa wote walioenda Kupiga ambush mawingu wanaripoti kwako direct.
 
Mbona wehu wa humu walisema hili jina la Paul Makonda wamelifungia au nao wamelegezwa
 
Unafiki wao unaudhi sana Mkuu. Ukweli wanaujua kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki KAMWE hawawezi kushinda, lakini hawataki hivyo na wanatumia vyombo vya dola ili kung'ang'ania madarakani kwa wizi, hila na mtutu wa bunduki. Utadhani wana hati miliki ya Tanzania wakati Tanzania ni yetu sote.

Mkuu BAK mbona unamtesa hivyo polepole hahahaha
 
Madaraka ya kulevya
f8d67f28e67317fc5e4287ce2912b837.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahaaaaa....mtu hujui hata maana ya D by D bado unaleta nyodo.

D by D siyo development by devolution chief...ni decentralization by devolution
kudaaadeki!!!!!!! mwenyewe nimeshangaa had kabidi nigoogle kwanza kujiridhisha kwanza na Kile nilichokuwa nakifahamu had nikahisi mi ndo nakosea..... D by D. Yan hata dhana yake haijui
 
Back
Top Bottom