Video: Paul Makonda kalewa madaraka

Video: Paul Makonda kalewa madaraka

Hivi jamani huyu mtu ni timamu kweli kichwani kwake? Huu upuuzi alikuwa anaongea na nani? haya majisifu wanayaweza 'wanawake tu.
 
Kwani maneno ya huyu bwana yanatofauti gani na aliyesema hapangiwi na mtu na form aliichukua mwenyewe na kuingia white house?
 
Lkn kama raisi alimpenda sana si angempeleka japo Katavi akamfiche huko kuliko huu mji wenye wasomi wa kila aina!
 
msikilize huyu anae jiita kiongozi ila nataka msikilize

"Concept ya D by D ni Decentralisation by Devolution sio kama Makonda asemavyo Development by devolution..."



ushauri wangu kwa chuo kilicho mpatia shahada huyu kijana kimvue kwani sasa anamaliza reputation ya chuo husika
 
Itakuwa ni TZ pekee ambapo RC anaweza tengua maamuzi ya Meya wa Jiji nasema hivi kwa kuzingatia maamuzi ya majiji makubwa ambayo nimeishi ila sijui katiba ua majiji ya nyumbani. Meya hivyo anaweza wekwa ndani na RC au kufukuzwa kama Bashite akuvyosema? Twafa.
 
Concept ya D by D ni Decentralisation by Devolution sio kama Makonda asemavyo Development by devolution...
 
Salaam, baada ya salamu nauliza, Unamtetea Makonda kwa hoja ipi?

Raisi wetu ana msemo wake anaoupenda sana kwamba MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU, Nami nasema kwambaa ukweli ni kuwa MAKONDA HANA SIFA YA KUWA KWENYE NAFASI ALIYOPO. Haijalishi utapima kwa vigezo gani lakini mwisho wa siku ukweli utabaki kuwa hivyo, Hastahili kuwa kwenye nafasi aliyopo.

Pamoja na kwamba sikumpigia Raisi wetu kura yangu, lakini mimi nilikuwa miongoni mwa Watanzania wengi sana ambao miezi kadhaa ya mwanzo wa uongozi wake tuliona tumaini kwa taifa letu, tumaini la kwamba walau tumempata kiongozi ambae ana nia ya dhati ya kuirudisha nchi yetu katika muelekeo sahihi, Kwangu mimi kilichonipa tumaini kilikuwa pale nilipomuona Raisi bila woga na hofu alipoamua kulivalia njuga suala la vyeti feki. Mimi naamini ili hii nchi iendelee ni lazima tuwe na mfumo imara wa elimu yetu, mfumo ambao mwanafunzi akimuona engineer kwenye TV usiku huo akeshe akiwa darasani akisoma kwa kujua kuwa njia pekee ya kufika pale ni kusoma kwa bidii.

Hata alipowaita wale vijana wa UDOM Vilaza nilimtetea raisi wangu maana nilijua alikuwa anafanya kitu sahihi kusafisha mfumo wa elimu yetu ili mtu aliyesoma aheshimike kwa elimu yake. Nimesikitika sana kuona kwa sababu ya mtu mmoja tu, raisi amelirudisha taifa kule kule lililokuwa na kuondoa kabisa matumaini ya mabadiliko kwa Tanzania yetu hii.

Kama kiongozi wa Uma, Makonda alitakiwa mara tu zilipotoka na kuanza kusambaa taarifa za yeye kufoji vyeti alitakiwa mara moja atoke hadharani na kulitolea ufafanuzi suala hilo, hivyo ndivyo viongozi wa uma wanatakiwa kufanya, Tuliona Mh Mwigulu alifanya, Juzi kuna kiongozi pale Kenya katoa pia vyeti vyake kwa tetesi tu za yeye kufoji vyeti, Kwanini Makonda yeye ananyamaza?

Kunyamaza tu kwa kiongozi wakati kukiwa na tuhuma kama hizo tayari imemuondolea uhalali way eye kuwa kiongozi katika nafasi yake. Hata kama ni kweli ana uwezo wa kufanya kazi, hana tena credibility ya kuongoza wananchi ambao asilimia kubwa wanamuona kama mdanganyifu, na zaidi sana wanamuona kama Kilaza. Nafasi aliyopo haitakiwi kuwa na kiongozi ambae wananchi wana mashaka nae.

Anasimama anasema yeye kuwa pale ni Mpango wa Mungu? Hilo linamaanisha nini? Kwaiyo tuwaambie watoto wetu wasihangaike kusoma badala yake wasali sana ili siku moja Mungu awaweke kwenye nafasi kama yake? Kufeli si dhambi, lakini ni kosa kubwa sana kudanganya. Nilishangaa sana kuona raisi analifumbia macho hilo pasipo kufikiria athari zake kwa taifa letu. Je wewe unamtetea Kwa hoja ipi hasa?

Mwisho, Raisi wangu umetukosea sana Watanzania tulio wengi kwa sababu walau tulishaanza kuwa na matumaini na wewe, lakini kwa sababu ya personal affection kwa mtu mmoja umeamua kuzipuuza sauti za wananchi wako na kuamua kumtetea mtuhumiwa, Umetukosea.
 
Salaam, baada ya salamu nauliza, Unamtetea Makonda kwa hoja ipi?

Raisi wetu ana msemo wake anaoupenda sana kwamba MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU, Nami nasema kwambaa ukweli ni kuwa MAKONDA HANA SIFA YA KUWA KWENYE NAFASI ALIYOPO. Haijalishi utapima kwa vigezo gani lakini mwisho wa siku ukweli utabaki kuwa hivyo, Hastahili kuwa kwenye nafasi aliyopo.

Pamoja na kwamba sikumpigia Raisi wetu kura yangu, lakini mimi nilikuwa miongoni mwa Watanzania wengi sana ambao miezi kadhaa ya mwanzo wa uongozi wake tuliona tumaini kwa taifa letu, tumaini la kwamba walau tumempata kiongozi ambae ana nia ya dhati ya kuirudisha nchi yetu katika muelekeo sahihi, Kwangu mimi kilichonipa tumaini kilikuwa pale nilipomuona Raisi bila woga na hofu alipoamua kulivalia njuga suala la vyeti feki. Mimi naamini ili hii nchi iendelee ni lazima tuwe na mfumo imara wa elimu yetu, mfumo ambao mwanafunzi akimuona engineer kwenye TV usiku huo akeshe akiwa darasani akisoma kwa kujua kuwa njia pekee ya kufika pale ni kusoma kwa bidii.

Hata alipowaita wale vijana wa UDOM Vilaza nilimtetea raisi wangu maana nilijua alikuwa anafanya kitu sahihi kusafisha mfumo wa elimu yetu ili mtu aliyesoma aheshimike kwa elimu yake. Nimesikitika sana kuona kwa sababu ya mtu mmoja tu, raisi amelirudisha taifa kule kule lililokuwa na kuondoa kabisa matumaini ya mabadiliko kwa Tanzania yetu hii.

Kama kiongozi wa Uma, Makonda alitakiwa mara tu zilipotoka na kuanza kusambaa taarifa za yeye kufoji vyeti alitakiwa mara moja atoke hadharani na kulitolea ufafanuzi suala hilo, hivyo ndivyo viongozi wa uma wanatakiwa kufanya, Tuliona Mh Mwigulu alifanya, Juzi kuna kiongozi pale Kenya katoa pia vyeti vyake kwa tetesi tu za yeye kufoji vyeti, Kwanini Makonda yeye ananyamaza?

Kunyamaza tu kwa kiongozi wakati kukiwa na tuhuma kama hizo tayari imemuondolea uhalali way eye kuwa kiongozi katika nafasi yake. Hata kama ni kweli ana uwezo wa kufanya kazi, hana tena credibility ya kuongoza wananchi ambao asilimia kubwa wanamuona kama mdanganyifu, na zaidi sana wanamuona kama Kilaza. Nafasi aliyopo haitakiwi kuwa na kiongozi ambae wananchi wana mashaka nae.

Anasimama anasema yeye kuwa pale ni Mpango wa Mungu? Hilo linamaanisha nini? Kwaiyo tuwaambie watoto wetu wasihangaike kusoma badala yake wasali sana ili siku moja Mungu awaweke kwenye nafasi kama yake? Kufeli si dhambi, lakini ni kosa kubwa sana kudanganya. Nilishangaa sana kuona raisi analifumbia macho hilo pasipo kufikiria athari zake kwa taifa letu. Je wewe unamtetea Kwa hoja ipi hasa?

Mwisho, Raisi wangu umetukosea sana Watanzania tulio wengi kwa sababu walau tulishaanza kuwa na matumaini na wewe, lakini kwa sababu ya personal affection kwa mtu mmoja umeamua kuzipuuza sauti za wananchi wako na kuamua kumtetea mtuhumiwa, Umetukosea.
Instagram inaharibu akili za watu.....mkuu jitahidi kuwa unaujua ukweli utaishi vizuri sana.
 
Makonda ninamkubali kwa...
1: Ni kiongozi anaethubutu...
2: Mbunifu katika kazi zake...Mfano wale vijana Mawakili dsm
3:Jasiri linapokuja suala la kile anachokiamini
4:Hawezi kukaa ofisini mwezi mzima na akaona maisha ni sawa kama wakuu wengine hata miezi inapita hujawaona, lazima aibuke na kitu
5:Ni mtu ambaye ukimtengeneza anaweza kuwa kiongozi mkubwa sio tu tanzania bali afrika nzima

Simkubali kwa

1:Kutokuonyesha ushirikiano ktk suala la vyeti
2:Inaonekana pia ni mtu ambae bado emotional stamina haiko vzr, uwezo wa kuhimili kukosolewa au kupingwa hasa na mtu aliyechini yake au popote/Ngozi laini nadhani ni matokeo ya tuhuma nyingi kwake...

Ukinipa Makonda na mtu mbunge yoyote wa Upinzani ukiondoa Zitto na Mbowe kidogo, nitamchukua makonda maana ni mtu ambaye anaquality ambazo zikikomaa anafaa kuliko watu wanaopiga kelele ila hawatendi chochote...

Makonda wa sasa angekuwa Bora zaidi kama angekuwa ni Yule Bashite (Kama kweli), Maana angekuwa level za wakina Kawawa,Zuma,Waziri mkuu mmoja mstaafu wa Australia,au Comred Zhao Ziyang
 
Back
Top Bottom