Video: Paul Makonda kalewa madaraka

Ni jambo la hatari sana kwa madaraka makubwa kupewa vijana. Inasikitisha kuona kuwa vijana walioaminiwa kiuongozi hawawi mfano mzuri kwetu tuliosalia. Hakukuwa na haja yoyote kwake kuongea mambo hayo. Kila kiongozi anapaswa kufanya kazi kwani ndicho kipimo pekee cha utendaji wake. Maneno hayajengi wala kupima utendaji kazi
 
Nyinyi bila kumtaja Paul Makonda mnahisi hamjafanya siasa kwa siku hiyo.

Bavichaa mnayo matatizo
 
Kwahiyo yeye yupo juu kama nanii ya mbuzi siyo?
Sawa mkuu tumekuelewa utafikia na kusema wewe upo juu ya JPM kwa akili zako zilivyo robo.
 
Akili za bashite kam
 

Attachments

  • 20170323_0029501745700.mp4
    779.7 KB · Views: 57
Ni jambo la hatari sana kwa madaraka makubwa kupewa vijana. Inasikitisha kuona kuwa vijana walioaminiwa kiuongozi hawawi mfano mzuri kwetu tuliosalia. Hakukuwa na haja yoyote kwake kuongea mambo hayo. Kila kiongozi anapaswa kufanya kazi kwani ndicho kipimo pekee cha utendaji wake. Maneno hayajengi wala kupima utendaji kazi
Kaka bashite kichwa panzi
 
Sishangai uelewa wake wa mambo, hauna tofauti na matokeo yake toka shule ya msingi hadi alipoamua kutumia cheti cha mtu mwingine. Kama hayo ndo majibu alikua anatoa kwenye mitihani ya Civics basi hata yule aliyechora zombie ana afadhali.

Na hapo ndio ka-upgrade upeo baada ya kusoma chuo miaka dahali na baada ya kupewa madaraka!!
 
Back
Top Bottom