VIDEO: NOKIA 6, Hardware durability tests.

VIDEO: NOKIA 6, Hardware durability tests.

Simu ngumu ilikuwa ni htc one x, hii unaweza kuigeuza nyundo ya kugongelea misumari
mkuu HTC one x ni ya mwaka jana kama sijakosea ila nokia 6 ni ya mwaka huu,htc nawaheshimu kwa ubunifu na sio watu wa kukopi kama samsung
angalia hii simu yao mpya S8 wateja wamelalamika kuwa display yake inachuja na kuwa nyekundu....wateja wameanza kuzirudisha madukan
 
mkuu HTC one x ni ya mwaka jana kama sijakosea ila nokia 6 ni ya mwaka huu,htc nawaheshimu kwa ubunifu na sio watu wa kukopi kama samsung
angalia hii simu yao mpya S8 wateja wamelalamika kuwa display yake inachuja na kuwa nyekundu....wateja wameanza kuzirudisha madukan
Nimeicheki NOKA 6, hakuna kitu bora wangefuata UI ya android
 
Back
Top Bottom