Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 771
Hatujakataa kama uchawi haupo ndo mana tunasema alifichwa kichawi sio alikufa.Uchawi upo jaman msibishe
Hatujakataa kama uchawi haupo ndo mana tunasema alifichwa kichawi sio alikufa.Uchawi upo jaman msibishe
Nabii yupi huyo?Ni nabii pekee ndiye aliyefufuka, hizi nyengine zitabaki kuwa story daima.
Wewe utakua mchawi mbn mkolofi unataka tuamini unachojua wewe tuusasa nikuwe mara ngapi, hapo utaambia nabii kamfufua. Najua hicho ndo kinachofuata. Kama mpaka umri huu nilio nao sijawahi ona mtutu akifufuka bas sitakaa nikiiona hilo. Huyo alikuwa hajafa alikuwa chumbani kafichwa
Msiwe wabishi uchawi upoo na nyie mnao kataa muwe waelewaAcha kuleta story za uongo. Hapo gamboshi napafaham vizuri. Ni kijiji kama vijiji vingine. Hayo mambo ya uchawi ni story za kusadikika tu. Niliwahi uliza wazee wa huko wakasema hata wao wanasikiaga tu kuwa zamani kulikuwa na wachawi.
Hizi story zipo sana hata huko ukerewe. Unaambiwa jani likiangukia ziwani linakuwa mamba. Sasa uliza wazee utasikia wanasema hata wao wanasimuliwaga tu
Tokea uzaliwe, au tokea watu waanze kuishi chini ya jua?Hajawahi kufa mtu akafufuka,
Kwani kuna sehemu nimesema uchawi haupo? Nilichosema ni kuwa acheni kuleta story za uongo, OVERMsiwe wabishi uchawi upoo na nyie mnao kataa muwe waelewa
Haya biblia inasema hivi
Ufunuo 22:15 inasema hivi Huko nje wako mbwa, WACHAWI, na wazinzi, na wajuaji, na hao waabuduo sanamu , na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.
Sasa kama na biblia imekataa wachawi jua kuna dunia ipo ila hujui matendo yao.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kama huamini basi kaa kimya! Wengine wanaamini haya mambo yapo!ALIELETA HUU UPUUZI HUMU NDIO AKAWAULIZE
Huyo hajafa ila alifanyiwa mazingaombwe tu na hiyo teknolojia ipo sana Afrika ila kwa watu wanaoamini teknolojia ya kizungu hawawezi kuamini kama wewe mpaka yakupate ndiyo utaamini.Hapo kuna watu wanatengenezewa mazingira ya kupigwa,utasikia kuna Mganga fulani ndio kamfufua,halafu mijitu itasombana ili nayo iende kufanyiwa miujiza! Au kupewa utajiri!
Ukisha kufa hakuna kurudi tena.
Na huko kwenu ni wachawi kama Hawa?!Hii stori imetokea kijiji cha karibu sana na kijiji chetu
Kama huamini basi kaa kimya! Wengine wanaamini haya mambo yapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alipotelea kwa vigagula wenzake kwa muda...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kuna watu wanatengenezewa mazingira ya kupigwa,utasikia kuna Mganga fulani ndio kamfufua,halafu mijitu itasombana ili nayo iende kufanyiwa miujiza! Au kupewa utajiri!
Ukisha kufa hakuna kurudi tena.