Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Bara damu lazima imwagike ili komwe aendelee kuwepo madarakaniNarudia tena ..UCHAGUZI huu ni wa-KIHISTORIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Bara damu lazima imwagike ili komwe aendelee kuwepo madarakaniNarudia tena ..UCHAGUZI huu ni wa-KIHISTORIA
Aiseeee !!Jiwe akipita tena sina uhakika na kutoboa miaka 5 maana anaonekana kadhoofu kiafya ndio maana kwenda garage kumezidi,hapo ndipo mtaelewa wote waliomdhihaki Lowassa wataisha mmja Baada ya mwingine
Hakika usije ukathubutu kushindana na aliyejaaliwa , pamoja na vikwazo vya kila namna ikiwa ni pamoja na uchawi , lakini Mh Lissu anazidi kuungwa mkono.
Haya hapa ni mapokezi yake alipokuwa anaingia viwanja vya Barafu Mjini Igunga - Tabora, jionee mwenyewe
Chadema kwa kutengeneza picha hawajambo,Kudadadekiiiii walah mahera na vibaraka wengine wakiona Hiv wanajinyea
dunia inafuatilia kwa karibu, ushahidi unakusanywa na mpaka sasa umeshajitosheleza. Tuendelee kujazia kila aina ya ushahidi.Ccm wanatamani watume polis wakavuruge huo mkutano, ccm kwao haki sawa kwa vyama vyote halimo...
Narudia tena ..UCHAGUZI huu ni wa-KIHISTORIA
Hii ni nyomis!Hakika usije ukathubutu kushindana na aliyejaaliwa , pamoja na vikwazo vya kila namna ikiwa ni pamoja na uchawi , lakini Mh Lissu anazidi kuungwa mkono.
Haya hapa ni mapokezi yake alipokuwa anaingia viwanja vya Barafu Mjini Igunga - Tabora, jionee mwenyewe