Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,763
- 20,000
🤣🤣🤣🤣Maoni gani unataka kwa huyu HAYAWANI? Hivi mtu kaitwa Zerobrain unategemea awe na fikra?
🤣🤣🤣🤣Maoni gani unataka kwa huyu HAYAWANI? Hivi mtu kaitwa Zerobrain unategemea awe na fikra?
Huyu ni ana matatizo ya akili, damu za watu wasio na hatia zinamuandamaAngalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTv
Mwanaume ambaye kutwa nzima ni kumsifia mwanaume mwenzake, huyo sio riziki.Huyo ndiye mwamba mwenyewe Paul Christian Makonda . kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na Rais wetu kuanzia 2030.
Saizi CHADEMA hata wakisikia sauti yake kwenye redio wanatimua mbio kali kama nyumbu bila kuangalia nyuma au kugeuka
Lakini hajajiweka pale peke yake. Ameteuliwa, tena na chama chenye wasomi wengi, na wote wanamwona anavyofanya! Je, tatizo linaweza kuwa sisi wananchi?Huyu ni ana matatizo ya akili, damu za watu wasio na hatia zinamuandama
Mimi wala siyo CDM bali ni CCM lakini UPUUZI huu haumithiliki. Wewe umejizima data ndiyo maana UNADHARALIWA hapa JF.Acha ushamba wewe. Acha mwamba Makonda achape kazi .manyumbu wenzio wa CHADEMA wameshatokomea kujificha maporini huko.
Hapana ndugu yangu ndani ya CCM hatuna watu wa hovyo aina yako. Wewe akili zako unapaswa uwe kule kwa ma nyumbuMimi wala siyo CDM bali ni CCM lakini UPUUZI huu haumithiliki. Wewe umejizima data ndiyo maana UNADHARALIWA hapa JF.
Tukipiga kura ya mtu wa HOVYO JF utashinda
Angalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTv
Kwamba vijana wa Kiachaga wanakokotwa akili na Msukuma mmoja aliyegeuka comedian?Angalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTv
Weka namba ya simu.Huyo ndiye mwamba mwenyewe Paul Christian Makonda . kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na Rais wetu kuanzia 2030.
Saizi CHADEMA hata wakisikia sauti yake kwenye redio wanatimua mbio kali kama nyumbu bila kuangalia nyuma au kugeuka
Mkuu sio watanzania, sema wajinga wa ccm ndio wanaendekeza huo utoto. Karne ya mitandao hii kiongozi anapanda mkokoteni atamchota nani? Watu wanawaza kumiliki magari ya kifahari anawaendea na maigizo ya mkokoteni!Maoni yangu ni kwamba wanasiasa wanaona watanzania ni wajinga maana huu ni usanii tu akitoka hapo anapanda v8.
Yani sijui kwanini watanzania wengi wanapenda usanii wa wanasiasa wà namna hii