Na wajinga wanashangilia.Ukitaka kujua ccm kumejaa viazi!!, Ni kupitia hili dodooo.... Siasa za wapi hizi kwenye ulimwwngu uliostaarabika?.
Avatar na jina lako atakae bishana na wewe mjinga tu😂😂Mbowe na genge lako hv ndivyo wanzio wanavyoteka akili za watz wapumbavu sio ww kaz kupiga umbea tu usio na tija ooh tume huru wakati ww mwenyewe unashindwa kuachia kiti,,, hapa nimechokoza team chadome ngoja niangalie pakujificha mana huwaambii kitu kuhusu mkubwa wao
Kwani kaka mbowe anasemajeeAngalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTv
Maoni yangu ni kwamba wanasiasa wanaona watanzania ni wajinga maana huu ni usanii tu akitoka hapo anapanda v8.Angalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTv
Bora kuzaliwa paka ulaya unakuwa na akili kuliko kuzaliwa binadamu TzNa wajinga wanashangilia.
Amekimbilia kwenda kujificha na wala hapokei hata simu za nyumbu wake.Kwani kaka mbowe anasemajee
Maoni gani unataka kwa huyu HAYAWANI? Hivi mtu kaitwa Zerobrain unategemea awe na fikra?Angalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTv
Acha UPUMBAVU wako, unawangusha sana vijana wa Mbeya na Songwe kwa namna ambavyo huwezi kupima vitu vya kushabikia.Huyo ndiye mwamba mwenyewe Paul Christian Makonda . kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na Rais wetu kuanzia 2030.
Saizi CHADEMA hata wakisikia sauti yake kwenye redio wanatimua mbio kali kama nyumbu bila kuangalia nyuma au kugeuka
Acha ushamba wewe. Acha mwamba Makonda achape kazi .manyumbu wenzio wa CHADEMA wameshatokomea kujificha maporini huko.Acha UPUMBAVU wako, unawangusha sana vijana wa Mbeya na Songwe kwa namna ambavyo huwezi kupima vitu vya kushabikia.
Futuhi......Angalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi.
View attachment 2880492
Nini maoni yako?
📹 WasafiTvf