Makutano Show
Member
- Aug 3, 2012
- 21
- 65
Wadau wa JF
Nawashukuru sana wote mliochangia katika kipindi cha kwanza cha Makutano kilichorushwa Magic FM kuanzia saa tisa mchana hadi kumi na mbili jioni kwa kumuuliza maswali Mheshimiwa Zitto Kabwe na pia kutoa maoni. Nilijaribu kadri ya uwezo wangu kumuuliza maswali yenu na aliyajibu.
Ushirikiano wenu na maoni yenu naamini yatakifanya kipindi kiwe bora zaidi hivyo usisite kunishauri au kunipa maoni ambayo unaamini yatakifanya kipindi cha Makutao kiendelee kuwa bora kadri siku zinavyozidi kwenda. Kila wiki tutakuwa na Mgeni na nitaendelea kupokea maswli yenu.
Kwa wale ambao hamkuweza kusikiliza kipindi siku hiyo clip za mahojiano zipo katika Youtube Channel ya kipindi unaweza kubofya hapa chini kusikiliza.
Fina
Nawashukuru sana wote mliochangia katika kipindi cha kwanza cha Makutano kilichorushwa Magic FM kuanzia saa tisa mchana hadi kumi na mbili jioni kwa kumuuliza maswali Mheshimiwa Zitto Kabwe na pia kutoa maoni. Nilijaribu kadri ya uwezo wangu kumuuliza maswali yenu na aliyajibu.
Ushirikiano wenu na maoni yenu naamini yatakifanya kipindi kiwe bora zaidi hivyo usisite kunishauri au kunipa maoni ambayo unaamini yatakifanya kipindi cha Makutao kiendelee kuwa bora kadri siku zinavyozidi kwenda. Kila wiki tutakuwa na Mgeni na nitaendelea kupokea maswli yenu.
Kwa wale ambao hamkuweza kusikiliza kipindi siku hiyo clip za mahojiano zipo katika Youtube Channel ya kipindi unaweza kubofya hapa chini kusikiliza.
Fina
Attachments
Last edited by a moderator: