Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,015
- 16,447
Honestly Fina nakubali kazi yako,toka kipindi kileee uko na ndugu yangu Masoud mlikua mnafanya kazi nzuri,ingawa kama unavyojua majungu na fitna hazikwepeki! Tambua huwezi kumfurahisha kila mtu,jiandae kwa changamoto..mwanzo mzuri! Usilewe sifa!