Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Huyu jamaa si wa sayari hii. Wampe tu nchi yake hapo October 2020Mtiti wa TL ni balaa jamaa anapiga lecture hata kama hujaenda shule lazima utamwelewa
Huyu jamaa si wa sayari hii. Wampe tu nchi yake hapo October 2020Mtiti wa TL ni balaa jamaa anapiga lecture hata kama hujaenda shule lazima utamwelewa
Yani wewe kwa akili yako hii hata ng'ombe ana nafuuHii Nissan patrol nyeupe sindio waliituhumu ndio waliomshambulia? Mkiwa waongo muwe na kumbukumbu
Ukiwa na mwanamke mweupe akakutenda katika ujana wako Basi baadae ukapata mwingine mweupe hutakiwi kumuoa hata Kama Unaona anakufaa? Sioni mantiki ya unacholinganisha hapa. Mmchanganyikiwa? Sasa huyo baba yenu katili ana Hali Gani ikiwa ninyi mko hivi?Hii Nissan patrol nyeupe sindio waliituhumu ndio waliomshambulia? Mkiwa waongo muwe na kumbukumbu
Shule ya ukweli siyo kama ya yule bwana ya kukariri kilomita za barabaraWatu wanapewa shule,tulia tuli,,hakuna hata mwanamuziki 1 anayetumbuiza umati
Hii ni hatari sana !Lissu ni kipenzi cha kweli cha watanzania. Usisingizie kuwa umejenga miundombinu huku unakandamiza uhuru! Ni kosa kubwa mno!