Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,690
- 218,194
Pamoja na kilio chake lakini anazo hoja kwamba Serikali haijawahi kutoa ripoti za uchunguzi wa moto kutoka tume inazoziunda, ripoti ya moto wa soko la Kariakoo hadi sasa imekaliwa na Kasimu Majaliwa.
Je kamati za kuchunguza haya matukio wanazoziunda ikiwemo ya moto uliounguza soko la Kariakoo ni za uongo?
Je kamati za kuchunguza haya matukio wanazoziunda ikiwemo ya moto uliounguza soko la Kariakoo ni za uongo?