Tuwaombee watunyooshe. Bila shida hauwezi kupata maendeleo. Unadhani nchi zilizoendelea ziliendelea vipi? Walinyooshwa kwanza, sasa sisi ndio kwanza bado mnaanza kulalamika.then watawala wanataka tuwaombee
sasa sijui tuwaombee kwa mungu yupi ??
Sent using Jamii Forums mobile app
akome kihere here cha nn? Hamna kazi za kufanya kwan? Hahahaha pole yake aisee.
Aisee huu uliouandika ni ungese ujueee wewe pimbiakome kihere here cha nn? Hamna kazi za kufanya kwan? Hahahaha pole yake aisee.
Tuwaombee watunyooshe. Bila shida hauwezi kupata maendeleo. Unadhani nchi zilizoendelea ziliendelea vipi? Walinyooshwa kwanza, sasa sisi ndio kwanza bado mnaanza kulalamika.
Kuna tatizo mahali
Sijui kwann kwani huo umekuwa ugomvi?
Kuna haja ya polisi kujitathimini
Naunga mkono hoja.