njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Mshambuliaji anayeshika nafasi ya pili kwa ubora kwa sasa barani Afrika nyuma ya Peter Shalulile, the greatest Fiston Mayele ambaye takwimu zinaonyesha ni mshambuliaji hatari kuwahi kutokea katika ligi ya Tanzania alikumbana na mauzauza ya ajabu huko kigoma
Mayele kama ilivyo kwa team nzima ya Yanga haamini katika uchawi anaamini katika dini na jicho la tatu la kiroho lilimtuma kwenda kutetema katika nyavu na kuweka kichwa chake kuondoa uchawi ila wachezaji wa Ruvu wakawa wanamsukuma
Hakuna namna nyingine zaidi ya kumzuia kijana huyu zaidi ya kuloga ,inabidi bodi ya ligi iisaidie Yanga sc kwa kufuata sheria na kuzuia wachawi wote wakiongozwa na simba sc ku practice mambo hayo ndo maana kuna li team huko Afrika halijawahi kuchukua kombe kazi kuzurura kuishia robo fainali na walivyo wajinga wanatambia fainali ya 1993 na nusu fainali ya 1974 ukiuliza kombe la Afrika liko wapi ni blah blah blah
Mayele kama ilivyo kwa team nzima ya Yanga haamini katika uchawi anaamini katika dini na jicho la tatu la kiroho lilimtuma kwenda kutetema katika nyavu na kuweka kichwa chake kuondoa uchawi ila wachezaji wa Ruvu wakawa wanamsukuma
Hakuna namna nyingine zaidi ya kumzuia kijana huyu zaidi ya kuloga ,inabidi bodi ya ligi iisaidie Yanga sc kwa kufuata sheria na kuzuia wachawi wote wakiongozwa na simba sc ku practice mambo hayo ndo maana kuna li team huko Afrika halijawahi kuchukua kombe kazi kuzurura kuishia robo fainali na walivyo wajinga wanatambia fainali ya 1993 na nusu fainali ya 1974 ukiuliza kombe la Afrika liko wapi ni blah blah blah