PostGE2025 Video: Hali ilivyo muda huu Mbezi kwa Msuguri

PostGE2025 Video: Hali ilivyo muda huu Mbezi kwa Msuguri

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Hii Ndio Hali Halisi Ilivyo Mitaa ya Kwa Msuguri Mbezi Jijini Dar Es Salaam Leo Disemba 9, 2025 . Kuna Hali Ya Utulivu kufuatia Maagizo ya Serikali ya Kuwataka Wananchi wasio na Ulazima Wa Kutoka Wabakie Majumbani Kwao, huku hali ya Ulinzi Ikiimarishwa kwenye Barabara ya Morogoro .
 
Umejitoa ufahamu eeh, hivi hujui kwamba leo ni siku ya mapumziko hata bila vitisho vya vurugu Ofisi za Serikali na Binafsi zingekuwa zimefungwa?
Siku ya mapumziko lick my *** umezaliwa juzi? Siku zote sherehe zinfanyika na kazi inaendelea na Tena shughuli ya kupasua tofali kwenye uwanja wa uhuru huisha si zaidi ya saa 8 Mchana huku watu wakiendelea na kazi zao Leo Kiko wapi?
 
Uzuri mnaojiita wanaharakati kitu mnachokifanya vizuri ni kuporomosha matusi.

Barabara ya Moroco imejengwa kwa hela zipi, barabara ya Mwanza inayoelekea Airport imejengwa kwa hela zipi?
Hospitali ya Uhuru Chamwino Dodoma ilijengwa kwa hela zipi?
Sikulaumu sana maana kipindi chote umekuwa busy na challenge za tik tok ghafla umegeuka mwanasiasa.
Lete hoja siyo matusi
Asante
Hoja ni kuwa Leo siku ya kazi Kodi hazikusanywi na kunna consumers wapo barabarani wanatafuna bajeti ya Leo siku ya uhuru kupitia VIPOSHO kwa mwamvuli wa kulinda amani.

Bajeti iliyopaswa kutumia kwenye mambo mengine
 
Uzuri mnaojiita wanaharakati kitu mnachokifanya vizuri ni kuporomosha matusi.

Barabara ya Moroco imejengwa kwa hela zipi, barabara ya Mwanza inayoelekea Airport imejengwa kwa hela zipi?
Hospitali ya Uhuru Chamwino Dodoma ilijengwa kwa hela zipi?
Sikulaumu sana maana kipindi chote umekuwa busy na challenge za tik tok ghafla umegeuka mwanasiasa.
Lete hoja siyo matusi
Asante
Hayo yalifanywa na Magufuli aliyekuwa kipenzi cha watu,sasa utishie watu kwa mitutu na kuua watu kisha unajisifia
 
Hii Ndio Hali Halisi Ilivyo Mitaa ya Kwa Msuguri Mbezi Jijini Dar Es Salaam Leo Disemba 9, 2025 . Kuna Hali Ya Utulivu kufuatia Maagizo ya Serikali ya Kuwataka Wananchi wasio na Ulazima Wa Kutoka Wabakie Majumbani Kwao, huku hali ya Ulinzi Ikiimarishwa kwenye Barabara ya Morogoro .
Wenye shughuli nao wameunga na wasio na shughuli kukaa ndani. Huu ni ujumbe mkubwa zaidi!!!!
 
Nchi imekuwa ya kikuda kweli hii kudadadeki,saa hizi ungenikuta Kariakoo nakusanya hela lakini nipo nyumbani nacheza na watoto leo siku ya kazi.

Watanzania tumekuwa cursed kuongozwa na wanawake na miviongozi vilaza wasiotumia sawa sawa vichwa vyao,inatia hasira sana!
 
Back
Top Bottom