SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,963
- 75,029
Wewe kilaza lile lilikuwa azimio la Mkutano Mkuu haliwezi kutenguiwa kwa hoja za mitandaoni.Mbiwe yeye aliongea lakini hakushinikiza mtu hicho alichoongea tofauti na Lisu yeye anashinikiza watu kuwa lazima no reform no election sio hiari na watu hawataki wanataka kugombea yeye kakomalia tu kuwa watake wasitake no reform no election ndio maana sasa hivi anaitwa dikteta uchwara