Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
Shangiliaugua pole ila ndo ivo tena hatuna namna ya kuwarudisha tena duniani!.
Siku yaja hautaweza kuikwepa
Shangiliaugua pole ila ndo ivo tena hatuna namna ya kuwarudisha tena duniani!.
Aseme hawajamtafuta. Uzuri wamesema kabisa msemaji ametafutwa akakaa kimya.Kesho gerson msigwa lazima afanye press
😂 ngoja tuone atajibu vipiAseme hawajamtafuta. Uzuri wamesema kabisa msemaji ametafutwa akakaa kimya.
Wale jamaa waliokutwa kwenye banda la video asee jmn walimiminiwa risasi kama magaidiWaliwafanyia raia udhalimu mkubwa sana asee, kama sio watanzania vile.
Sijui walivutishwa bange gani.
SamuyaLazima wahusika wz huu unyama wawajibike
Jinga ni wewe, sasa achia huyo Mungu maisha yako na ujifungie chumbani uone muujiza wake wakukulisha. Pumbavu weweachana na mimi jinga we!.
Angechinjwa mamaako,babaako au ndugu mwingine wa uzao wenu ungesahau hayo maumivu kisa huna uwezo wa kuwarudisha.Hapa hoja si kuwarudisha ila haki itendeke kwa wote waliouwawa kinyama! Wewe huna ndugu ameuwa naona au hata kuona wengne si ndugu zako wakitandikwa risasi na kufa papohapo.najua maumivu yenu ila mengine ni kusahau tu yapite!,watu washachinjwa na kuzikwa kusikojulikana hatuna uwezo wa kuwarudisha tena ni kuwaombea Mungu awape pumziko salama huko waliko.
Inasikitisha Sana.Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti, baada ya mrindimo wa bunduki kunyamaza ghafla. Sasa, ushahidi mpya unafichua kile ambacho hakikusimuliwa - vifo vya watu ambao idadi yao bado haijulikani, miili iliyotoweka, na tuhuma za ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaodaiwa kufanywa na vyombo vya usalama.
Kurunzi ya DW inamulika kilichotokea Mwanza, jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania, na inakuja na undani ambao haujawahi kuwekwa hadharani.
sina njaa na shida za kijinga kama zako!,kenge we.Jinga ni wewe, sasa achia huyo Mungu maisha yako na ujifungie chumbani uone muujiza wake wakukulisha. Pumbavu wewe
we ni mtu wa ajabu kweli!, nani afurahie umwagaji damu watu 10000!?, sina roho ya kigaidi kiasi hicho.Shangilia
Siku yaja hautaweza kuikwepa
Unamuachia Mungu ili iweje?tutalipa kisasi amini nakuambia ,hakuna kumuachia Mungu.huwezi kujisifu kwa kuuwa halafu utuambie unamuachia Mungu.Labda Mungu awe shemj yako sawaTulishamwachia Mungu yeye atajua alipe kwa wakati gani!, kumbuka kila baya na jema atendalo mtu hulipwa kwa wakati.
Huu ndio ukweli.....kisasi lazima kilipwe hakuna kumuachia MunguLazima wahusika wz huu unyama wawajibike
Acha zako wewe...tuzike nguo then tumuachie Mungu?tena watu ambao hata kwenye maandano hawakuwepo tena siku ya tatu baada ya uchaguzi haramu..tutalipa kisasi kaeni mkijua hivyonajua maumivu yenu ila mengine ni kusahau tu yapite!,watu washachinjwa na kuzikwa kusikojulikana hatuna uwezo wa kuwarudisha tena ni kuwaombea Mungu awape pumziko salama huko waliko.
kwenye banda lile kulikuwa mtoto wa miaka 9 na yeye walipiga risasi wale mbwa .....haiwezeakani damu zipotee kirahisi hivi.hivi visasis ni vya vizazi na vizazi ...muda ni mwalimu mzuriWale jamaa waliokutwa kwenye banda la video asee jmn walimiminiwa risasi kama magaidi