Video: Diamond Platnumz-Eneka (Official video)

Diamond...
Kuna haja kubwa ya kuwachunguza video directors waliofanya kazi na huyu kijana...
Haiwezekani kila video iwe na tatizo la kucopy videos za wasanii wengine...
Huenda hawa madirector wana nia mbaya na huyu kijana..!
Maana hii video inafanana kabisa na tonight ya r2bees na wizkid..!
 

Fall by Davido
 
Iko vzuri na sidhani km ina muingiliano wa soundbeat na fall

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Hiii nyimbo ni [emoji91] [emoji91]
 
Naamini unajua maana ya sampling. Kwenye music sampling inaruhusiwa Kama utafuata taratibu zote. Wimbo wa Saida Karoli Karanga ambao Dayamondi alisample alimlipa yule Mama pesa na Mama alikiri, wasanii wengine walisample Kama Darasa na Belle9 ila sijui kama walimlipa. FA alisample Yalaiti kwa kufuata taratibu

Sijausikia huo wimbo wa fall so sijui zinafanana kiasi gani Nina allergy na nyimbo za wawest sizipendi hata kidogo.

Aidha producer wa Dayamondi bado ni mchanga sana Dayamondi inabidi abadilishe producer wake au afanye kazi na wengine Kama anataka kwenda mbali zaidi. Ni kweli Kazi zake za hivi kairbuni zinafanana sana Pamoja na zile za wasanii wengine wa label yake ya wasafi. Lizer hana creativity ya kutosha. I miss u ni wimbo mzuri aliotoa hivi karibuni sikushangaa nilipojua Tudd Thomas ndo katengeneza
 
Duuuuh!! Upo sahihi mkuu video zinafanana sana

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Director wa Eneka na tonight ni huyo huyo anaitwa Sesan
 
Video iko poa sana

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
veeery nice Diamond,whether umecopy or not,lol kwani utakuwa wa kwanza msanii kukopi?lol
 
Huu wimbo ni mzuri sana lakini nikusikiliza kuanzia beat na mtiririko wa kuimba ni wazi kabisa una ufanano na wimbo wa fulani wa Davido...
Ni wakati wa Diamond kuanza kuangali jinsi Lizer anavyo fanya kazi....
 
VERY RIGHT......
 
Director wa Eneka na tonight ni huyo huyo anaitwa Sesan
Very primitive!! Director mmoja anafanya video mbili tofauti kwa idea moja

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Mmiliki wa Trends za hiyo midundo ni TECNO hata DAVIDO kachomokea huko huko.

- In short naona kama TECNO amekuwa GAME CHANGER hususani kwenye midundo na videos, maana complicated videos za malamborgin na madege watu washazichoka
 
Very primitive!! Director mmoja anafanya video mbili tofauti kwa idea moja

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Wajuvi, mnajua kuliko hata SESAN!
 
Janja janja inapozidi
 

Attachments

  • Screenshot_20170711-142041.png
    32.4 KB · Views: 46
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…